Mchepuko umebeba mimba unataka kumwambia mke wangu

Mchepuko umebeba mimba unataka kumwambia mke wangu

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
683
Nilitokea kupata kamchepuko ila nilikaambia nina wife kiukweli ni binti mdogo miaka 20, sasa nilidanganyika pepo likanipitia nikapiga dry nikanogewa mwishowe akanasa mimba.Akaniambia alishatoa mimba 5 kwahii anaogopa kutoa asije toa na kizazi sasa imekua kero kila saa simu mpaka usiku nikiwa na wife nikimwambia haelewi kabisa.

Wakuu imefikia namwambia atoe hataki anatishia atamwambia wife nipo njia panda balaa isije wife akajua maana na wife ana mimba na ni mtata balaa.

Wakuu nifanyeje?
 
Kwani akimwambia mke wako ndiyo itakuwaje yaani ndiyo utamuoa yeye au ndiyo utalea Mtoto?
 
sa unatakaje...si anayao...ilaomba akimuambia mkeo wife akubali ila akugande wewe na akupige mkwara uachane naye...binti abaki kulea mimba na uhudumie..mtoto azaliwebasi....maana una mke unapiga kavu mchepuko wakati ukijua kuna kupeana mimba...ndio uvune ulichopanda.....mchepuko naye anataka security tu ndio maana anatishia kumwambi awife ili akuvurugie apate yeye nafasi au iwe msg tu kwamba anatkuhitaji naye
 
Utakoma; mkeo akijuwa tu kimekula kwako; lazima ataondoka.
 
Kwaiyo APA ndio sehemu salama pa kuelezea ujinga wako?unataka nan akusaidie mzigo wako kwa tamaa na raha zako mwenyewe?
 
Kama mbwai acha na iwe mbwai tu. Unaogopa nini na amwambie tu
 
Back
Top Bottom