Mchepuko umebeba mimba unataka kumwambia mke wangu

Mchepuko umebeba mimba unataka kumwambia mke wangu

Kama una uhakika mimba ni yako mwambie akupatie
 
iv kwann mnatmbag bila plan????? ndo ukome lea hizo mimba unatak bint wa watu aitoe unajuaje safar hii km akifa na yeye??? hapa ndo naIchukiaga hii jinsiA.
Hivi kutmba kwa plan kukoje???
 
Mkuu ushuri wangu ni mmoja tu

Jisalimishe kwa mkeo na uombe msamaha na uahidi kutorudia kamwe

Huo mchepuko unaonekana kuwa na nia thabiti ya kukuharbia ndoa, usijichanganye


Ukikaacha kakaanza kumwambia mkeo kabla yako ujue itakula kwako


Tafuta muda mzuri, mkeo akiwa kwenye mood nzuri, mletee zawadi (hata kama hujawahi maishani ), ongea nae kwa upole bila kumficha
 
Hapo ndo nakumbuka thread moja humu kila mwanaume anamuogopa mke wake yaani kutishiwa kwamba atamuambia mkeo umepata kimuhe muhe na kuja jf hivi wakt unafanya kavu hukujua kama anaweza pata mimba au ulijua ni mgumba? Kwani mkeo alikuwa na shida gani kumfanya mbona nasikia wakiwa na mimba wanakuwa watamu na joto, ilikuaje ukaacha huo utam ukaenda njee? Nyie ndo anafanya mpaka wengine tunachukiwa buree Lea tu hiyo mimba hakuna namna
 
Nilitokea kupata kamchepuko ila nilikaambia nina wife kiukweli ni binti mdogo miaka 20, sasa nilidanganyika pepo likanipitia nikapiga dry nikanogewa mwishowe akanasa mimba.Akaniambia alishatoa mimba 5 kwahii anaogopa kutoa asije toa na kizazi sasa imekua kero kila saa simu mpaka usiku nikiwa na wife nikimwambia haelewi kabisa.

Wakuu imefikia namwambia atoe hataki anatishia atamwambia wife nipo njia panda balaa isije wife akajua maana na wife ana mimba na ni mtata balaa.

Wakuu nifanyeje?
Kumbe unataka atoe....bora ungemwambia utailea na uilee kweli........watu wanatafuta watoto ndugu yangu.....
 
Nilitokea kupata kamchepuko ila nilikaambia nina wife kiukweli ni binti mdogo miaka 20, sasa nilidanganyika pepo likanipitia nikapiga dry nikanogewa mwishowe akanasa mimba.Akaniambia alishatoa mimba 5 kwahii anaogopa kutoa asije toa na kizazi sasa imekua kero kila saa simu mpaka usiku nikiwa na wife nikimwambia haelewi kabisa.

Wakuu imefikia namwambia atoe hataki anatishia atamwambia wife nipo njia panda balaa isije wife akajua maana na wife ana mimba na ni mtata balaa.

Wakuu nifanyeje?
Dah.. eti pepo, acha kumsingizia bana😵
 
Tafuta mwanaume mwingine mjanja afu amtongoze awe karibu nae afu umfamanishe, atakuwa mpole atakusikia kwa lolote utakalomweleza
 
Tuchukulie kama mkeo ndo angekuwa mumeo inakuaje?usipende kufanya mambo ambayo hupendi kufanyiwa natamani tayari mkeo ashaanza kukuhisi unachepuka anasubiri kuthibitisha tuu maana mnafki hujulikana hata ajifiche Vipi
 
Back
Top Bottom