Unaona sifa shen**i taip. Laana khum wewe na mleta uzi. Mbuzi kasoro mkia..Da pole mkuu coz mimi kamchepuko kangu kanataka nikape MIMBA sasa nimepata funzi hapo kwako ila USIHOFU BRO yatapita tu usiwaze sana na amini tu kila jambo linakuja na wakati wake na hujui itakuja kuwaje huko mbele mimi nilimpa mchepu mwingine mimba du ilikuwa hTari san ila sasa yameshIsha
yaani ya wife imemzidi one month only
Sijui kama nakosea(kqma nakosea mnisamehe tu) but HV kwann wana wake hawanaga akili HVNilitokea kupata kamchepuko ila nilikaambia nina wife kiukweli ni binti mdogo miaka 20, sasa nilidanganyika pepo likanipitia nikapiga dry nikanogewa mwishowe akanasa mimba.Akaniambia alishatoa mimba 5 kwahii anaogopa kutoa asije toa na kizazi sasa imekua kero kila saa simu mpaka usiku nikiwa na wife nikimwambia haelewi kabisa.
Wakuu imefikia namwambia atoe hataki anatishia atamwambia wife nipo njia panda balaa isije wife akajua maana na wife ana mimba na ni mtata balaa.
Wakuu nifanyeje?
Ndo kitu nachojiuliza yaan sijui huyo mwanamke anawaza nn?Kwani akimwambia mke wako ndiyo itakuwaje yaani ndiyo utamuoa yeye au ndiyo utalea Mtoto?
Umepanda bangi unataka uvune sukuma wiki.
Umemkojoza mtt wa watu..ngoja na yeye akukojoze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mansniper jina linaendana na vitendo vyako. Mchepuko umeutunga na wife umemtunga pia.Nilitokea kupata kamchepuko ila nilikaambia nina wife kiukweli ni binti mdogo miaka 20, sasa nilidanganyika pepo likanipitia nikapiga dry nikanogewa mwishowe akanasa mimba.Akaniambia alishatoa mimba 5 kwahii anaogopa kutoa asije toa na kizazi sasa imekua kero kila saa simu mpaka usiku nikiwa na wife nikimwambia haelewi kabisa.
Wakuu imefikia namwambia atoe hataki anatishia atamwambia wife nipo njia panda balaa isije wife akajua maana na wife ana mimba na ni mtata balaa.
Wakuu nifanyeje?