Maisha pesa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 681
- 632
- Thread starter
-
- #81
Kiwanja kwako inaweza kuwa kitu cha ajabu mimi sishoboki na vitu hivyo make viwanja tayari ninavyo, nyumba na gari nnavyo so siyo ishu kwangu.Chai hizi jaman....
Usawa huu.....
Upewe kiwanja...
Dah.... Anyway.
Atakuja kuvuruga huyu anaweza kuniharibia hadi kanisani hana maana. Ntafanya yangu kimya kimya baada ya ndoa ataona picha Facebook na instagramMtumie kadi ya mchango wa harusi. na kadi ya mwaliko pamoja akili itafunguka
Hawezi kuniweka kwenye chupa ataisoma namba tu mwolewaji ameshajulikanaAlipokuwa anakuzingua kulikuwa na mme mwenzio alikuzidi kete then huyo jamaa kamzingua hivyo ikabidi ajishushe kwako nawe kwa uroho ukaona kipya kinyemi sasa inabidi uoe tu na in short huponi maana umekula vyake vingi na akili zako zimewekwa kwenye chupa.
Hayo ni mapenzi jaza ujazwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipm kiongozi ninaweza kukusaidia kwa faida yakoWakuu sijaoa lakini nina mchumba ambaye soon tutaoana. Sasa kuna binti mwaka jana alikuwa anasoma chuo nilimpenda kwa dhati kwa nia ya kumuoa lakini akazingua ni mzuri sana na ilibidi nimtongoze kama miezi 2 hivi siyo kawaida yangu nilipoona mambo bado magumu nikamtema na nikapata mwingine ambaye tumepiga hatua hadi kukaribia kuoana sasa.
Mwaka huu yule binti alianza mazoea hapo ameshamaliza chuo anafanya kazi yaani msg asubuhi, mchana, jioni na usiku. Akipiga simu anataka tukeshe tunaongea na anaomba appointment za kuonana na mimi mara kwa mara papuchi ananipa kama vile nimeoa. Nilistaajabu sana yalipotoka haya mapenzi yasiyojulikana.
Sasa jamani sasaivi anataka ndoa kwa nguvu yaani anadai afe kipa afe beki lazima nimuoe anamzingua hadi mchumba wangu. Nimeshamtia makofi mara 3 lakini aachi. Anajitoa vibaya sana kwangu hadi mshahara wake wote analeta. Majuzi amenunua kiwanja kaandika jina langu nimemwambia sitaki hiyo ni mali yako, ananishauri tuingie miradi ya pamoja na biashara namkatalia.
Nimeshamweleza sina mpango wa kumuoa lakini haelewi anadai nimemchezea na rafiki zake wote wameolewa yeye ataolewa na nani. Sasa namuuliza mbona sikukukuta bikra? Anakosa majibu na nilipotambua ananitega mimba nikaacha kumgegeda.
Nishaurini nimfanyeje huyu mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu sijaoa lakini nina mchumba ambaye soon tutaoana. Sasa kuna binti mwaka jana alikuwa anasoma chuo nilimpenda kwa dhati kwa nia ya kumuoa lakini akazingua ni mzuri sana na ilibidi nimtongoze kama miezi 2 hivi siyo kawaida yangu nilipoona mambo bado magumu nikamtema na nikapata mwingine ambaye tumepiga hatua hadi kukaribia kuoana sasa.
Mwaka huu yule binti alianza mazoea hapo ameshamaliza chuo anafanya kazi yaani msg asubuhi, mchana, jioni na usiku. Akipiga simu anataka tukeshe tunaongea na anaomba appointment za kuonana na mimi mara kwa mara papuchi ananipa kama vile nimeoa. Nilistaajabu sana yalipotoka haya mapenzi yasiyojulikana.
Sasa jamani sasaivi anataka ndoa kwa nguvu yaani anadai afe kipa afe beki lazima nimuoe anamzingua hadi mchumba wangu. Nimeshamtia makofi mara 3 lakini aachi. Anajitoa vibaya sana kwangu hadi mshahara wake wote analeta. Majuzi amenunua kiwanja kaandika jina langu nimemwambia sitaki hiyo ni mali yako, ananishauri tuingie miradi ya pamoja na biashara namkatalia.
Nimeshamweleza sina mpango wa kumuoa lakini haelewi anadai nimemchezea na rafiki zake wote wameolewa yeye ataolewa na nani. Sasa namuuliza mbona sikukukuta bikra? Anakosa majibu na nilipotambua ananitega mimba nikaacha kumgegeda.
Nishaurini nimfanyeje huyu mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eehh!Kiwanja kwako inaweza kuwa kitu cha ajabu mimi sishoboki na vitu hivyo make viwanja tayari ninavyo, nyumba na gari nnavyo so siyo ishu kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akimbwaga kuna ubaya ?Yap ndo hivyo mkuu ila kigeugeu hakimuachi mtu salama..mtu aweza akawa na mahusiano na mwenzie kwa muda mrefu then akam'bwaga kwa kufuata matamanio ya nafsi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Karma ipo au tunajazana uoga tuNa mostly inakuaga for no reason...basi tuu mtu anago ghost. But Karma though
viiipi
Pengine alikupenda ukaishia mapema au alikuwa na boyfriend akadengua.
Any way mwisho wa siku muamuzi ni wewe mwenyewe
ASANTE MKUU KWA USHAURI WAKO MZURI. NITAUZINGATIAHUYO ALIKUWA NA BWANA CHUO WAKAT YUPO WA MOTO
AMEMALIZA CHUO PAPUCH IMECHOKA NA MARAFK ZAKE WAMEOLEWA ILA YEYE BDO.
HVYO ANATAKA AOLEWE FASTA ILI KUFAUATA MKUMBO WA MARAFIKI.
MUOE MCHUMBA WAKO WA SKU ZOTE NA UTAPATA BARAKA.
UKIMBWAGA MCHUMBA WA ZAMANI KWA AJILI YA HUYO MBABAISHAJ ITAKULA KWAKO