Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,795
- 9,764
Siku nikimpata yule binti 😋😋
Hao wanapewa mkoa, ngoja wakushangazeNdio ,kwani Nansio ukerewe wanajenga ya hadhi gani? Tuna hospital ngapi za hadhi ya kitaifa za private huko Wilayani? Eg Ikonda Market,Hydom Manyara,Nzega Vijijini nk?
Ujinga wa kukwepa majukumu ndio unawafanya mnawaza hivyo na Kwa taarifa Yako tuu sio sifa kusafiri umbali.mkubwa kufuata Huduma Kwa huo utoto wa sijui Wilayani sijui Mkoani au taifani.
Private!? .fikiri bro, nzega vijijini kuna hospital gani ya hadhi ya kitaifa?Ndio ,kwani Nansio ukerewe wanajenga ya hadhi gani? Tuna hospital ngapi za hadhi ya kitaifa za private huko Wilayani? Eg Ikonda Market,Hydom Manyara,Nzega Vijijini nk?
Ujinga wa kukwepa majukumu ndio unawafanya mnawaza hivyo na Kwa taarifa Yako tuu sio sifa kusafiri umbali.mkubwa kufuata Huduma Kwa huo utoto wa sijui Wilayani sijui Mkoani au taifani.
Mkoa gani? Hizo ni classification tuuHao wanapewa mkoa, ngoja wakushangaze
Tupo hapa utakuja kupinga kama hili la Rufiji.Mkoa gani? Hizo ni classification tuu
Baada ya harakati za kugawa majimbo ya Uchaguzi kushika Kasi suala la kuunda Mikoa mipya nalo limeanza kujitokeza ambapo Waziri wa Tamisemi bwana Mchengerwa amesema huenda Rufiji ikawa Mkoa Mpya.Pia soma Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa
Waziri huyo na Mbunge wa Rufiji amesema jambo Hilo litategemea ikiwa Wilaya za Mkoa jirani wa Lindi ya Kilwa kama itakubali Ili kufanikisha Vigezo.
Ikumbukwe Mikoa mingine iliyoomba kugawanywa na kuwa Mkoa Mpya ni
-Chato (itachukua Wilaya za Kagera,Mwanza,Kigoma),
-Mkoa wa Manonga( kutoka Tabora),
-Mkoa wa Handeni( kutoka Tanga),
-Mkoa wa Kilombero (kutoka Morogoro) na
-Mkoa wa Rufiji (kutoka Pwani & Lindi).
View: https://www.instagram.com/reel/DHyZU5Kom_c/?igsh=a3NlOHk4bmMxYnly
My Take
Kuongeza Mikoa mipya bila kubadili mfumo wa Usimamizi wake haiwezi kusaidia lolote kwenye maendeleo sana sana itaongeza mzigo Kwa walipakodi.
Fikiria raia anatoka ikwiriri anapita dsm anafata huduma ya kimkoa kibaha kisha anarudi ikwiriri, huoni ni usumbufu mkubwa?
Wakigoma nao wanataka wawe ndani ya Dar. Wasaidieni ili kupunguza umbali uliopo kutoka kigoma mpaka darRufiji iingizwe ndani ya mkoa wa Dar
Hakuna mahala upigaji umepungua na kutowapa mamlaka ya usimamizi Serikali za Mitaa ndio imefanya wizi uwe chain kubwa ya kuanzia wizarani.
That means, system zote mbili zimeshindwa kuleta ufanisi unaotakiwa kwa sababu upigaji wabongo na upigaji sasa ni kama mmasai na rungu au sime!I bed to differ on suala la upiga, haujaisha ila umebadilika, instead ya kuanzia chini unaanzia juu kushuka.
If you tell me ni kupunguza upigaj is not right
Baada ya harakati za kugawa majimbo ya Uchaguzi kushika Kasi suala la kuunda Mikoa mipya nalo limeanza kujitokeza ambapo Waziri wa Tamisemi bwana Mchengerwa amesema huenda Rufiji ikawa Mkoa Mpya.Pia soma Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa
Waziri huyo na Mbunge wa Rufiji amesema jambo Hilo litategemea ikiwa Wilaya za Mkoa jirani wa Lindi ya Kilwa kama itakubali Ili kufanikisha Vigezo.
Ikumbukwe Mikoa mingine iliyoomba kugawanywa na kuwa Mkoa Mpya ni
-Chato (itachukua Wilaya za Kagera,Mwanza,Kigoma),
-Mkoa wa Manonga( kutoka Tabora),
-Mkoa wa Handeni( kutoka Tanga),
-Mkoa wa Kilombero (kutoka Morogoro) na
-Mkoa wa Rufiji (kutoka Pwani & Lindi).
View: https://www.instagram.com/reel/DHyZU5Kom_c/?igsh=a3NlOHk4bmMxYnly
My Take
Kuongeza Mikoa mipya bila kubadili mfumo wa Usimamizi wake haiwezi kusaidia lolote kwenye maendeleo sana sana itaongeza mzigo Kwa walipakodi.
Vinginevo asahau hiyo mipango yake? Kuna namna itawezekana asiteuliwe na mteuaji wa wakati huo? Kabisa kabisa?Labda mkwewe andelee kumteua!
Mbona yule aliyeharibu uchaguzi wa mwenyekiti kanda ya nyasa mmemsamehe?Hatutamsamehe huyo Mkwe wa raisi kwa jinsi alivyoharibu chaguzi za serikali za mitaa.
Baada ya harakati za kugawa majimbo ya Uchaguzi kushika Kasi suala la kuunda Mikoa mipya nalo limeanza kujitokeza ambapo Waziri wa Tamisemi bwana Mchengerwa amesema huenda Rufiji ikawa Mkoa Mpya.Pia soma Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa
Waziri huyo na Mbunge wa Rufiji amesema jambo Hilo litategemea ikiwa Wilaya za Mkoa jirani wa Lindi ya Kilwa kama itakubali Ili kufanikisha Vigezo.
Ikumbukwe Mikoa mingine iliyoomba kugawanywa na kuwa Mkoa Mpya ni
-Chato (itachukua Wilaya za Kagera,Mwanza,Kigoma),
-Mkoa wa Manonga( kutoka Tabora),
-Mkoa wa Handeni( kutoka Tanga),
-Mkoa wa Kilombero (kutoka Morogoro) na
-Mkoa wa Rufiji (kutoka Pwani & Lindi).
View: https://www.instagram.com/reel/DHyZU5Kom_c/?igsh=a3NlOHk4bmMxYnly
My Take
Kuongeza Mikoa mipya bila kubadili mfumo wa Usimamizi wake haiwezi kusaidia lolote kwenye maendeleo sana sana itaongeza mzigo Kwa walipakodi.
1.Kuondoa ma DC na kuwapa Nguvu Serikali za Mitaa kuamua mambo Yao badala ya Sasa kuwa mawakala wa Serikali kuu.
2.Kuwa na Kanuni maalumu za mgawanyo wa Rasilimali za Serikali Kuu kama ilivyo Nchi nyingi hasa USA badala ya Sasa kutegemea uchawa(viongozi wanaotoka kwenu).
3.Kukusanya na kupanga matumizi ya Fedha wenyewe badala ya Kila chanzo kuingia Serikali Kuu harafu ndio mnasubiria huruma za walioko Dom/Dar.
Ya Kipolisi?Na jamiiforums iwe wilaya📌