ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,088
- 84,978
Baada ya harakati za kugawa majimbo ya Uchaguzi kushika Kasi suala la kuunda Mikoa mipya nalo limeanza kujitokeza ambapo Waziri wa Tamisemi bwana Mchengerwa amesema huenda Rufiji ikawa Mkoa Mpya.Pia soma Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa
Waziri huyo na Mbunge wa Rufiji amesema jambo Hilo litategemea ikiwa Wilaya za Mkoa jirani wa Lindi ya Kilwa kama itakubali Ili kufanikisha Vigezo.
Ikumbukwe Mikoa mingine iliyoomba kugawanywa na kuwa Mkoa Mpya ni
-Chato (itachukua Wilaya za Kagera,Mwanza,Kigoma),
-Mkoa wa Manonga( kutoka Tabora),
-Mkoa wa Handeni( kutoka Tanga),
-Mkoa wa Kilombero (kutoka Morogoro) na
-Mkoa wa Rufiji (kutoka Pwani & Lindi).
My Take
Kuongeza Mikoa mipya bila kubadili mfumo wa Usimamizi wake haiwezi kusaidia lolote kwenye maendeleo sana sana itaongeza mzigo Kwa walipakodi.
Waziri huyo na Mbunge wa Rufiji amesema jambo Hilo litategemea ikiwa Wilaya za Mkoa jirani wa Lindi ya Kilwa kama itakubali Ili kufanikisha Vigezo.
Ikumbukwe Mikoa mingine iliyoomba kugawanywa na kuwa Mkoa Mpya ni
-Chato (itachukua Wilaya za Kagera,Mwanza,Kigoma),
-Mkoa wa Manonga( kutoka Tabora),
-Mkoa wa Handeni( kutoka Tanga),
-Mkoa wa Kilombero (kutoka Morogoro) na
-Mkoa wa Rufiji (kutoka Pwani & Lindi).
My Take
Kuongeza Mikoa mipya bila kubadili mfumo wa Usimamizi wake haiwezi kusaidia lolote kwenye maendeleo sana sana itaongeza mzigo Kwa walipakodi.