Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,595
- 5,485
Nenda Manzese maeneo ya pale karibu na daraja kuna sehemu kuna mashine nyingi nyingi za kusaga,naonaga malori mengi huwa yanashushaga mahindiJee, wapi solo la jumla mahindi na pumba kwa hapa dar..?