Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
JK kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui Qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona ITV mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.
 
lobbying? watu wenyewe ubunge unaondoka kesho kutwa. wana faida gani ya kwenda huko?
 
JK kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui Qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona ITV mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.
Tatizo lako nini? hutaki watunga sheria wajifunze? inaonekana wewe ndo ulikuwa unashangaa maghorofa kwani hukuona walivyokuwa wanapata maelezo kutoka kwa wataalamu?
 
Tatizo lako nini? hutaki watunga sheria wajifunze? inaonekana wewe ndo ulikuwa unashangaa maghorofa kwani hukuona walivyokuwa wanapata maelezo kutoka kwa wataalamu?

Nilitegemea niwaone wanapewa maelekezo na waziri wa makazi au meyor wa jiji au maofisha wa huo mji lakini naona wadogo tu wa NHC wakiwasomesha sasa kulikuwa na sababu gani ya kwenda huko? Wakati anasign mkopo wa dola billioni hakuwa amefanya survey ya kutosha? kwa hiyo wanataka kujenga kama joberg doha hongkong? kama hawajui wanataka kufanya nini basi wangezurura kwanza kabla ya kuomba mkopo,

Mkapa kabla ya kuanzisha mradi wa DART alileta consultant kutoka brazil, akafanya upembuzi yakinifu na proposal, kwa msechu lembeli ndo consultant au? Haya Mnyika na uhandisi majengo wapi na wapi?
 
Nilitegemea niwaone wanapewa maelekezo na waziri wa makazi au meyor wa jiji au maofisha wa huo mji lakini naona wadogo tu wa NHC wakiwasomesha sasa kulikuwa na sababu gani ya kwenda huko? Wakati anasign mkopo wa dola billioni hakuwa amefanya survey ya kutosha? kwa hiyo wanataka kujenga kama joberg doha hongkong? kama hawajui wanataka kufanya nini basi wangezurura kwanza kabla ya kuomba mkopo,

Mkapa kabla ya kuanzisha mradi wa DART alileta consultant kutoka brazil, akafanya upembuzi yakinifu na proposal, kwa msechu lembeli ndo consultant au? Haya Mnyika na uhandisi majengo wapi na wapi?

Mkuu,waziri wa makazi au Mayor wa jiji si wataalamu wa mipango miji! Pili, hiyo USD 1b unayoizungumzia mbona plans zake tayari? Hata michoro ipo...! Mradi unaitwa Salama Creek (ni satelite city) na ni eneo linaloitwa Uvumba wilayani Temeke, si Kawe. Hiyo ziara haina uhusiano na zile dola bilioni moja....
By the way, anaitwa 'Mchechu' na sio 'Msechu'.
 
Huyu jamaa huwa naona ana maneno mengi tu vitendo hakuna, mi nawakubali NSSF hakuna hadithi hadithi kama miradi wanapiga, kazi za NSSF zinaonekana na yale mashirika mengine ya hifadhi za jamii... Ni kweli kama jamaa ameshindwa kazi apishe watu wenye uwezo...
 
Mwambie AENDE KWA ALHAJI DR RAMADHANI DAU AKAMFUNDISHE KAZI

KAZI NI VITENDO ATI,,SIYO MANENO NA LONGO LONGO

AFANYE KAZI IONEKANE
JK kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui Qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona ITV mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.
 
Aende kwa ALHAJI DAU PALE NSSF AKALISHWE KITAKO AELEKEZWE KAZI

KAZI NI VITENDO SIYO MANENO MATUPU HAINA MAANA

PESA ZA WALALAHOI ZINAPASWA KUWEKEZWA KATIKA MAMBO YENYE TIJA NA YANAYOONEKANA
 
JK kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui Qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na Zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona ITV mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.
Una tatizo la wivu wa kijinsia!!!
Mlikuwepo hapo NHC miaka yote , mlikuwa wapi kuleta mawazo mapya?
Mnasubiri mtu aanza kulipeleka shirika vizuri halafu mdandie kwa mbele, shame on you.
Hata Mama Tibaijuka alijaribu kumuondoa huyu kijana Mchechu , he is bright and enterprising.
Akili zenu haziwatoshi hata kujenga nyumba moja , sembuse kukarabati zilizokuwepo.
Kaja Mchechu kalifufua upya shirika la NHC, sasa mnalalama utafikiri nini sijui.
Mwacheni kijana afanye kazi.
 
support aliyopewa mchechu na IKULU mtu yeyote humu JF angepewa NHC ingekuwa zaidi ya hii ya MCHECHU. Nilishasema na narudia kusema MCHECHU ni MZIGO kama walivyo mizigo mingine kama Eng Kipande, Maingu wa PSPF, Mafuru wa Hazina, na January makamba N waziri
 
Una tatizo la wivu wa kijinsia!!!
Mlikuwepo hapo NHC miaka yote , mlikuwa wapi kuleta mawazo mapya?
Mnasubiri mtu aanza kulipeleka shirika vizuri halafu mdandie kwa mbele, shame on you.
Hata Mama Tibaijuka alijaribu kumuondoa huyu kijana Mchechu , he is bright and enterprising.
Akili zenu haziwatoshi hata kujenga nyumba moja , sembuse kukarabati zilizokuwepo.
Kaja Mchechu kalifufua upya shirika la NHC, sasa mnalalama utafikiri nini sijui.
Mwacheni kijana afanye kazi.

support aliyopewa mchechu na IKULU mtu yeyote humu JF angepewa NHC ingekuwa zaidi ya hii ya MCHECHU. Nilishasema na narudia kusema MCHECHU ni MZIGO kama walivyo mizigo mingine kama Eng Kipande, Maingu wa PSPF, Mafuru wa Hazina, na January makamba N waziri
 
Mkuu eddy
watanzania tunachekesha satellite city at kawe!!? mi nimeona ile taarifa hao waheshimiwa sana wamepelekwa kuonyeshwa huo mji mpya ulipo, ni nje mbali na Abu dhabi,
 
Nadhani mleta mada unamaanisha Mchechu na si Msechu. Kama ni huyo, mwache afanye kazi. Usilete fitna kama za Tibaijuka. Mchechu ni presidential material.
 
Una tatizo la wivu wa kijinsia!!!
Mlikuwepo hapo NHC miaka yote , mlikuwa wapi kuleta mawazo mapya?
Mnasubiri mtu aanza kulipeleka shirika vizuri halafu mdandie kwa mbele, shame on you.
Hata Mama Tibaijuka alijaribu kumuondoa huyu kijana Mchechu , he is bright and enterprising.
Akili zenu haziwatoshi hata kujenga nyumba moja , sembuse kukarabati zilizokuwepo.
Kaja Mchechu kalifufua upya shirika la NHC, sasa mnalalama utafikiri nini sijui.
Mwacheni kijana afanye kazi.

Misingi ya NHC iliwekwa na magufuli alivyokuwa waziri wa ardhi na mzee ole madeye akiwa MD wa NHC, yeye kabebwa na mbeleko bado hakuna anacho deliver, matangazo chungu mzina nyumbanyumba hamnakitu, ona nyumba zinazojengwa monduli hovyo tu tangu lini gorofa likawa la matofari ya kuchoma hata timbiktu wasingejenga hivi, kama kweli alikuwa anania ya kujifunza angeenda Israel akaona wayahudi wanavyojenga makazi ukingo wa gaza, ipo haja ya kuajiri MD kutoka Israel.

Qater kila mtu ananyumba wanachojenga ni vitega uchumi vya kibiashara tena vya kimataifa sisi hata pakuishi ni shida, eti anaenda kujifunza huko kama sio ndoto za abunuwasi ni nini? kwahiyo hayo mabembea ndo walienda kujifunza kwani fancity hayapo?

Hawahawa walipelekwa na tibaijuka Hongkong hadi wengine wakapigana bar bado hawakuelewa, basi sikuingine tumpeleke profesa Muhongo kama hao akina lembeli ni nanga.
 
jk kakubeba kwa mbeleko hadi china kakutafutia mkopo wa dola billioni, ili uje utujengee nyumba sasa badala ya kujenga umeanza semina elekezi na akina lembeli, ulikuwa hongkong juzi africa ya kusini mala doha sasa mko brunei sijui qater, hao akina lembeli ubunge ulishakwisha huko kote unafanyanao nini? Nilitegemea kukuona una sign mikataba na wakandarasi kuanza ujenzi maramoja.

Kiwanja kawe ulishapewa, fedha unazo, michoro unayo sasa tatizo liko wapi? Kama huwezi kudeliver utoke waje wenye huo uwezo. Sasa nakubaliana na zitto kuwa uwezo wako wa kazi ni mdogo, leo nimeona itv mko sijui nchi gani huko uarabuni haya munashangaa magorofa tu hamkuwa na mwenyeji hata mmoja, kujifunza gani bila kupata maelezo kutoka kwa mwenyeji.

nakwambia hapo hakuna mtu. Toka yule mama msomi prof. Anna tibaijuka atoka katika wizara hiyo hakuna kinachoendelea tofauti na wizi mtupu
ccm haitaki wasomi hata kidodo haifai kuiongoza nchi kama wasomi wanaokubalika kimataifa wao wanawatosa na kuwadhalilisha basi ni dhahiri kuwa ccm haitaki wasomi wazuri km prof. Anna tibaijuka na prof. Muhongo ambao sisi watanzania tunawaitaji na kuwalilia mpaka kesho
 
Kilichonishangaza mdee nae kuwepo kwenye trip
Kweli wameenda kule kama kufanya semina na kupiga pic
 
Kilichonishangaza mdee nae kuwepo kwenye trip
Kweli wameenda kule kama kufanya semina na kupiga pic

We acha tu CCTV za abu dhabi zilifanyakazi ya ziada kuwafatilia manake walionekana kama wanaandamana, ni wao tu waliokuwa wanatembea kwa mguu
 
Back
Top Bottom