Mchango wako wa kimawazo

Mchango wako wa kimawazo

kijanaubungo

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Wewe ni mwanaume, unagundua kua mwanamke wako kuna vitu akwambii ukweli, hii baada ya kugundua kua, aliyekua mpenz wake ambaye alimkubali kipindi cha nyuma lakini wakati uko nae, lakini baadaye mkayamaliza, sasa unagundua kua anamtafutia kazi, lakini baada ya kumuuliza anakwambia kitu tofauti unapomuuliza una uhakika anakwambia kua sina uhakika, alafu anakwambia kuna vitu awez kukwambia coz amjaoana, ungefanyaje kama ni wewe
 
Wewe ni mwanaume, unagundua kua mwanamke wako kuna vitu akwambii ukweli, hii baada ya kugundua kua, aliyekua mpenz wake ambaye alimkubali kipindi cha nyuma lakini wakati uko nae, lakini baadaye mkayamaliza, sasa unagundua kua anamtafutia kazi, lakini baada ya kumuuliza anakwambia kitu tofauti unapomuuliza una uhakika anakwambia kua sina uhakika, alafu anakwambia kuna vitu awez kukwambia coz amjaoana, ungefanyaje kama ni wewe

hapo kwenye red sijaelewa nini kimetokea....
Kutafutiwa kazi sio tatizo...
ila ana kiburi na sio muwazi... kwasababu hana uhakika na hayo mapenzi yenu, hana uhakika kama utamuoa, ni haki yake kujali future yake kuliko wewe.. sasa kua karibu nae na uonyeshe kweli unamjali n umfanye akuamini kwa future..
 
basi nakubaliana nae na mie nakaa mkao wa kumgegeda tuu....hamna future hapo
 
Hakuna mwanamke hapo, anaweka mazingira mazuri ya kukupiga chini! Unangoja nini, Anza kujiwekeza na wewe kivyako!
 
Kuachana na mtu haitoi picha kuwa ndio mwisho wa kuwasiliana ila hapa naona tatizo ni kukosa uwazi kwa mwenza wake,wapenzi wengi huwa hawapendi kuongelea mambo ya wapenzi wao wa nyuma kwa wenza wao wapya jambo ambalo hawa wapenzi wanaliona sasa wakati tangu mwanzo walitakiwa kuwa wawazi kwa mambo ambayo wanaona yataleta kutokuelewana baina yao kama ilivyo sasa.
Kwa mwanaume inatakiwa kukaa chini na huyo bibie na kujua msimamo wa kile ambacho kinamtatiza na wafikie muafaka wa kama wanaishi kwa mashaka au ijulikane wazi nini kinaendelea.
 
Mapenzi yanachosha sana , solution uliyonayo ndiyo inayomfaa. haya mambo huwa hayana ushauri sana
 
Wewe ni mwanaume, unagundua kua mwanamke wako kuna vitu akwambii ukweli, hii baada ya kugundua kua, aliyekua mpenz wake ambaye alimkubali kipindi cha nyuma lakini wakati uko nae, lakini baadaye mkayamaliza, sasa unagundua kua anamtafutia kazi, lakini baada ya kumuuliza anakwambia kitu tofauti unapomuuliza una uhakika anakwambia kua sina uhakika, alafu anakwambia kuna vitu awez kukwambia coz amjaoana, ungefanyaje kama ni wewe

Kumtafutia mtu kazi siyo tatizo, tatizo ni kitendo cha kutoa majibu yasiyoridhisha na kutokuwa mkweli ambacho kwa upande wangu mimi hiyo ni sababu tosha ya kum-disqualify mtu kwenye mahusiano. Kuna msemo unasema bora uishi na mchawi kuliko muongo!
 
Ha ha ha ha, nimefurai sana na comments, ila huyo mwanamke anaishi nae japo bado awajaoana.
 
Back
Top Bottom