Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Ni takribani kama miezi sita sasa toka tufanye uchaguzi. Sijawai kusoma makala ya kitaalamu isiyokuwa ya kisiasa juu ya mchango mapungufu ya kiufundi au vifaa vya KI ICT kwenye uchaguzi wetu
So From Tecnlogical point of view and not political naleta mada hii tujadili.
Nawasilisha kwa mjadala
NB:
So From Tecnlogical point of view and not political naleta mada hii tujadili.
- Hardware and software specifications
- Mchango
- mapungufu
- udhaifu
- faida /hasara
- SWOT( Strenght, Weakness. Opportunity) ya ICT na vifaa vilitumika vilivyotumika
- vifaa aina gani na model gani (hardware) vya ki IT( scanner, Kompyuta,etc ) vinatumiwa. na nini hasa ilikuwa kazi ya vifaa hivi
- Je kuna software yeyote NEC walitumia.imetengezwa na kampuni gani ( Eg Ms Exel, etc.)Nini hasa ni kazi ya software husika?
- Operators- Je operators wa hivi vifaa na hiz software kama data entry walipata practical training ya muda gani.
Nawasilisha kwa mjadala
NB:
- Itapendeza watu wakiweka siasa pembeni tukajadili from IS/ICT point of view .hapa tujadili computer process ans sytem zilitomika.
- Itapendeza kitengo cha habari cha JF kikijaribu kufuatiia kujua ni vifaa gani hasa na specification zake zilitumika.