Mchango Wa Ali na Mali

Mchango Wa Ali na Mali

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,270
Wapendwa wanajf,
Familia ya Bw na Bi Shieka inafurahi kuwatangazia kwamba vijana wao
Ali na Mali wanatarajia kufunga harusi yao mwezi Agosti 2015.

Wewe ukiwa mwanajf mwenye upendo na ushirikiano unaombwa kutoa mchango
wa ali na mali ili kufanikisha harusi hiyo. Chochote kitapokelewa hatuna makubwa. Asante
Michango iwasilishwe kwa wafuatao ili iwafikie kabla ya 30/7/2015 Dinazarde - 0754334455 Salamander-0654667788 Idd Ninga - 0756990000
 
Last edited by a moderator:
Unaombwa kuwasilisha mchango wako bila masharti yoyote au maswali maswali zaidi, pia si vibaya ukianzia laki sita kwenda juu.
Wwe ni mhamasishaji mzuri mno mshikaji wangu, ndo maana nkakuchagua!
 
Mchango gani wa laki? mi najua laki si pesa semaga mambo ya tumilioni
Hiyo laki itatosha tu BUSTER.Sitaki mahela mengi kama unavyoshauri.Sitaki watuite mafisadi!
 
Last edited by a moderator:
hapo salamander tu ndio ana tigo,weka na tigo za hao wengine mpate wachangiaji wengi
 
Back
Top Bottom