Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Mungu wangu MTU huyu bado hajakamatwa polisi mko wapi vyombo vya usalama MTU huyu muhimu sana kwenu
 
Nimekupata mkuu, kula like yangu.
 
Masikini Mchange amekuwa ki.chaa. Dah! Hakuna hata connection ya facts anabwabwaja tu. Ulikuwa wapi siku zote usiitwe polisi kwa ushahidi?? Anyway kwa kuwa umekuwa chi.zi basi
 

Vipi kuhusu waziri wako Lukuvi ana shahada au stashahada ya nini hadi kupewa uwaziri?
 

Huyo bwana Red yaani kama kuna mtu kabugi siasa ni huyu dogo fisadi, ana hekalu kamjengea mwanamke wake aliyemzalisha maeneo ya Kimara Matosa ntaupiga picha Muda ntautupia humu

We hoja wala hauna,Sema ni mshabiki mzuri sana
 
Mi nakuambia kuwa Saccoss ya CHAGGADEMA inatakiwa uwe umejitoa ufahamu haswaaaa


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
magazeti yataandika "Mchange awavua nguo CHADEMA" jingine "Mbowe, Lissu, Slaa waumbuliwa na Mchange"
 
Hivi ni kwa nioi waandishi wa habari wanadharauliwa kiasi hki? Hao waandishi wanaowasikiliza vichaa kama hawa huwa wanauliza na maswali magumu pia?

Cc: Pasco
 
Last edited by a moderator:

huyu jamaa anatuona sisi ni wapuuzi kama yeye mkuu.
 

We ulikuwa na nafasi gani ndani ya CHADEMA? ikiwa mtu km wewe ulikuwa kiongozi basi nadhani kuna ukweli mahali fulani kuwa chadema ina tatizo la mifumo ya upatikanaji wa uongozi na wapo wengi ndani ya chama wa aina yako. Lissu some of us look forward to your contributions for the party to be properly institutionalised to avoid these kinds of nonsense
 
Waandishi wa habari kuwaita wakusikie mpaka ukidhi vigezo gani jamani, msaada.... Pasco

Mwenyewe huwa najiuliza the same question, yaani utoko km huu hao waandishi walifanya nini? Au ndo ile kijana wa kikwete riz1anasema ni makanjanja?
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kwa nioi waandishi wa habari wanadharauliwa kiasi hki? Hao waandishi wanaowasikiliza vichaa kama hawa huwa wanauliza na maswali magumu pia?

Cc: Pasco
Mkuu Matola, kwanza asante kuzungumzia jinsi waandishi wanavyodharauliwa kiasi hiki!, kazi ya uandishi ni noble profession kama noble professions nyingine zote, ni kazi ya wito na ni kujitolea kama ualimu, udaktari na kazi za kanisa!, waandishi ni watumishi wa watu wakifanya kazi ya kutumikia jamii, ila kwa upande mwingine, katika jukumu lao la kukusanya habari, watu wote wanakuwa ni abiria wao, huwezi kuchagua!, wazima, vichaa, lunatics, etc, wote kwetu ni source.

Ukiisha kusanya, wewe mkusanyaji ndio chujio la kwanza kupima if it makes any sense, ndipo unaandika kuhabarisha jamii!, unamkabidhi mhariri wako nae anaipitia na kuiaproove itoke au isitoke, au kuipunguza, kuichinja na hata kuipotezea!.

Mfano habari hii kwenye magazeti ya kesho, itakuwa ni big news kwenye magazeti ya Uhuru, Mzalendo,itakandiwa sana Tanzania Daima, ila kwenye magazeti kama Citizen na Mwananchi sijui kama inaweza kupita kwa sababu wahariri wataweza kunote insanity ya mtuoa habari, ambayo ameyazungumzia matukio bila coherence wala correlation, na Tanzania ingekuwa ni nchi inayofuata utawala wa sheria "the rule of law", saa hizi jamaa ni zamani, angelikuwa ananye. debe!.

Kwenye noble profession zote kudharaulika ni kawaida sana, hata kwenye fani ya udaktari, Madaktari ndio wanaoheshimika, lakini manesi wale wafunga vidonda etc, wee acha tuu!, kwenye fani ya uandishi, madakitari wetu ndio wahariri, hawa wanaheshikika sana, ila sisi ndio wafunga vidonda wao, kudharaurika ni kawaida!.

Ila nasi tunao msimu wa kuheshimika na kunyenyekewa kama walivyo waalimu kipindi cha mitihani,hivyo nasi mwaka 2015, kuelekea kile kipindi, huwa tunaheshimiwa sana, tunathaminiwa sana, tuna nyenyekewa sana, na kwa wengine wetu, ndio kipindi cha mavuno!.

Thanks.
Pasco.
 
Nkuu Chikutentema, kwanja, achante!. Sifa ya kuita Press Conference ni

1. Uwe na umri wa miaka 18
2. Uwe na akili timamu

Thats all.

Thanks.

Pasco

Akili timamu wanajua vp japo umri? unaweza kukadiria?
 
Wewe ni kibaraka na mchumia tumbo

Mwanzoni sikuamini km kweli kuna binadamu wanalipwa kwa hii kazi ya social media comments, wewe lazima unalipwa au unanufaika na mfumo ulipo wa kifisadi, ila lazima tutawatoa ikulu kwa njia yoyote, wengine tuko tayari kupigania kizazi hiki na watoto wetu, jiandae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…