Mchanganuo wa ujenzi wa kighorofa kimoja

Living Pablo

JF-Expert Member
May 17, 2020
3,231
10,102
Wakuu habari zenu naombeni msaada wa mawazo Nina mpango wa kujenga kighorofa kimoja.

Jinsi niyakavyo ni kujenga chini jiko halafu kwa juu yake nataka kuweka chumba cha master yaan chumba na choo tu chumba nataka niweke kitanda meza ya kompyuta, kabati basi na tv ukutan labda na kieneo kidogo cha kuweka sound system bas ngazi napenda itokee kwa nje..

Kwa wenye msaada wa kimawazo je itapendeza au? maan eneo nmepata kwa wazaz sasa naona kuliko kumaliza gharama Kwny kupanga bora nijenge chumba kwa nje maan eneo bado lipo na ata ikitokea nkiondoka basi wataishi wajukuu ambao wanaishi na bibi na Babu yao.

Mfano wake japo ni tofauti ila ni kama picha hii


 
 

Attachments

  • 2storycnfinedmasonry.pdf
    2.1 MB · Views: 64
Habari ndugu

Vipi ulifanikiwa kujenga?

Na je gharama zake zimeendaje?
 
Habari chief naomba msaada wa makadrio ya bei ya kujenga chumba kimoja master bedroom sasa hivi kwa mko wetu wa dar,Eneo bunju na ni tambarare

Habari Nzuri Mkuu.

Chumba Kimoja Master Kama Chumba Kimoja Master Mchanganuo wake ni:-

Standard 4m kwa 5m.

Tofali roughly = 1000 , Msingi kozi Nne na juu kozi 10 + 3 juu ya linta.
Mchanga ukinunua Mbawa moja inatosha = 90,000/=
Kokoto Selera moja = 130,000/=
Cement = Max 25 Bags ,Standard mfuko mmoja unajenga tofali 40 hadi 50. = 375,000/=
Nondo = 12 za mkanda 6 na za linta 6 = 300,000/=
Bati = 12 @25k = 300,000/=
Mbao 4x2 =10 na 2 x 2 =16 = 100,000/=
Dirisha + Milango. =Uwezo wako hapo
Gypsum = Boards 6 ,Screw box 1 , Powder = 6 bags ,Emulsion Rangi Ndoo ndogo moja
Wiring+plumbing = Uwezo wako


Rougly andaa 4 hadi 5 inatoka NYUKWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…