Kama uko Dar es Salaam, nenda pale Mwenge kuna ofisi ya NHC wana wataalamu wa ujenzi , watakupa taarifa nzuri. Pia unaweza kwenda UDSM, ARU, DIT wana architects wenye uelewa wa udongo na masuala ya ujenzi kwa ujumla.Shukrani Mkuu.
Kama uko Dar es Salaam, nenda pale Mwenge kuna ofisi ya NHC wana wataalamu wa ujenzi , watakupa taarifa nzuri. Pia unaweza kwenda UDSM, ARU, DIT wana architects wenye uelewa wa udongo na masuala ya ujenzi kwa ujumla.Shukrani Mkuu.
Hivi hawa Wataalamu hujificha wapi, ni mpaka watafutwe?.Nenda Kwa wataalamu wa udongo vyuo vya Ujenzi,au Kilimo au wataalamu wa barabara wanajua ubora na uimara wa udongo sehemu husika
Mkuu hizi zinapatikana Dodoma?Hakuna anayeongelea tofali za udongo zilizoshindiliwa (interlocking compressed earth blocks)
View attachment 1579335
Vi9i kwa Dodoma tofali nzuri za kuchoma zinapatikana wapi?Mkuu hizi zinapatikana Dodoma?
Natafuta pia, bado sijajua.Vi9i kwa dodoma tofali nzuri za kuchoma zinapatikana wapi?
Hakuna anayeongelea tofali za udongo zilizoshindiliwa (interlocking compressed earth blocks)
View attachment 1579335
Hizi ni tofali za udongo (ila sio kila aina ya udongo utakupa matokeo chanya), huweza pia kuchanganywa na cement kidogo (stablizng)...na kubonyezwa/kigandamizwa kisawasawa kwa mashine ya mkono au umeme.Natamani kujua zaidi kuhusu hizi interlockings, zimetokea kunishawishi kiaina.
Hizi ni tofali za udongo (ila sio kila aina ya udongo utakupa matokeo chanya), huweza pia kuchanganywa na cement kidogo (stablizng)...na kubonyezwa/kigandamizwa kisawasawa kwa mashine ya mkono au umeme.