Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,062
- 3,280
.
Mchanganuo wa matokeo hayo katika baadhi ya kata kwa ufupi:
KUTOKA BAGAMOYO KIBINDU.Matokeo ya jumla: CCM- kura 1682(75%),CHADEMA- kura 548(25%).
MAGOMENI :Matokeo kwa jumla: CCM 1183, CUF 708, CHADEMA 347.
KUTOKA LINDI NA MTWARA.CCM imeshinda Kata Zote za Uchaguzi Uliofanyika jana .
NACHINGWEA....ADC -9 CUF -110 CHADEMA -188 CCM -517.
KUTOKA KIGOMA JIMBONI KWA ZITTO KABWE: CHADEMA wamepoteza kata ya MKONGORO Jimboni KWA Zitto Kabwe,Imechukuliwa na CCM(Kata Ilikuwa Inaongozwa na CHADEMA).
KUTOKA MOSHI. Kata ya Kiboroloni imebakia CHADEMA
KUTOKA KONDOA: CCM --1,296 CUF--935. CDM--29 NCCR--34
KUTOKA SOMBETINI JIJINI ARUSHA - CHADEMA Imeshinda Kata ya Sombetini kwa 2548 na CCM 2077
KUTOKA RUNGWE MKOANI MBEYA. CCM Imeshinda kata ya Malindo na Matokeo rasmi Kata ya SANTILYA-Mbeya Vijijini. CCM - 1650 CDM - 1154.
KUTOKA MANYARA KITETO: CCM Imeshinda kata Zote mbili ikiwamo ya Partimbo.
KUTOKA KAHAMA KIBAGWE :CCM Imeshinda Kata ya Kibagwe (kulikuwa na Kata moja tu ya Uchaguzi).
KUTOKA BUNDA : CCM Imeshinda (Kulikuwa na Kata Moja ya Uchaguzi).
KUTOKA NJOMBE MJINI: Chadema Imeshinda ( Kata Ilikuwa Moja tu ya Uchaguzi).
KUTOKA LUDEWA :CCM imeshinda,Kulikuwa na Kata Moja ya Uchaguzi.
Hitimisho:
Katika kata 27 zilizofanyiwa Uchaguzi,CCM Imeshinda kata 24,Chadema Kata 3. Kwa Maana hiyo CCM Imeshinda Kwa Kishindo Uchaguzi huu hasa Ukizingatia UShindani wa Kisiasa Uliokuwepo siku za hivi Karibuni..
Mchanganuo wa matokeo hayo katika baadhi ya kata kwa ufupi:
KUTOKA BAGAMOYO KIBINDU.Matokeo ya jumla: CCM- kura 1682(75%),CHADEMA- kura 548(25%).
MAGOMENI :Matokeo kwa jumla: CCM 1183, CUF 708, CHADEMA 347.
KUTOKA LINDI NA MTWARA.CCM imeshinda Kata Zote za Uchaguzi Uliofanyika jana .
NACHINGWEA....ADC -9 CUF -110 CHADEMA -188 CCM -517.
KUTOKA KIGOMA JIMBONI KWA ZITTO KABWE: CHADEMA wamepoteza kata ya MKONGORO Jimboni KWA Zitto Kabwe,Imechukuliwa na CCM(Kata Ilikuwa Inaongozwa na CHADEMA).
KUTOKA MOSHI. Kata ya Kiboroloni imebakia CHADEMA
KUTOKA KONDOA: CCM --1,296 CUF--935. CDM--29 NCCR--34
KUTOKA SOMBETINI JIJINI ARUSHA - CHADEMA Imeshinda Kata ya Sombetini kwa 2548 na CCM 2077
KUTOKA RUNGWE MKOANI MBEYA. CCM Imeshinda kata ya Malindo na Matokeo rasmi Kata ya SANTILYA-Mbeya Vijijini. CCM - 1650 CDM - 1154.
KUTOKA MANYARA KITETO: CCM Imeshinda kata Zote mbili ikiwamo ya Partimbo.
KUTOKA KAHAMA KIBAGWE :CCM Imeshinda Kata ya Kibagwe (kulikuwa na Kata moja tu ya Uchaguzi).
KUTOKA BUNDA : CCM Imeshinda (Kulikuwa na Kata Moja ya Uchaguzi).
KUTOKA NJOMBE MJINI: Chadema Imeshinda ( Kata Ilikuwa Moja tu ya Uchaguzi).
KUTOKA LUDEWA :CCM imeshinda,Kulikuwa na Kata Moja ya Uchaguzi.
Hitimisho:
Katika kata 27 zilizofanyiwa Uchaguzi,CCM Imeshinda kata 24,Chadema Kata 3. Kwa Maana hiyo CCM Imeshinda Kwa Kishindo Uchaguzi huu hasa Ukizingatia UShindani wa Kisiasa Uliokuwepo siku za hivi Karibuni..