Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,442
- 219,944
- Thread starter
- #101
Mungu Ibariki JF
Mkuu hakuna heri , hamna chochoteKila la kheri zao...
Swali lako ni zuri sana , ila mwenye majibu ni Dkt HangayaMwenye vyeti feki anautofauti gani na mwizi?
Tuonyeshe aliyelipwaWanalipwa mbona, au nyie mnafanyia wapi uchunguzi wenu. Kama sijakosea wanalipwa kati ya 15% au 25% ya michango kwa mkataba na mwajiri, anaweza kuwa DED, TPF n.k
Taarifa za Serikali ya Tanzania zilieleza kwamba, Rais Samia aliagiza wenye vyeti feki walioondolewa kazini na serikali ya awamu ya 5, walipwe stahiki zao kuanzia Novemba mosi.
Vyombo vya habari vilivyonunuliwa na vile vile vilivyojipendekeza vikaripoti habari hiyo kwa mashamsham.
View attachment 2433982
Bali uchunguzi wetu umebaini kwamba hadi kufikia leo, zaidi ya mwezi tangu tamko la Rais, hakuna mhanga yoyote aliyelipwa chochote, na kuna taarifa kwamba hawatolipwa milele.
Ikumbukwe kwamba wahanga hawa idadi yao ni kama elfu 10 na ushee tu, kisingizio chochote cha sijui kuna mchakato yakinifu ni sawa na uongo wa mchana.
Watanzania siyo wajinga kihivyo, kama Magufuli aliwadhalilisha na waliridhika kwanini nyie muwadanganye?
Majibu ya Swali lako anayo Jenister MhagamaMmawia amelipwa????
Hoja yako imepitwa na wakati , kwenye uzi huu tunazungumzia amri iliyotolewa na Rais ya kuwalipa wenye vyeti fekiSheria za Nchi zinasemaje juu ya mtu alipata ajira kwa njia za udanganyifu?
Kwa kwawaida kama unadai mafao ukikamilisha kujaza fomu unasubiri takriban mwez 1 hadi miwili ndio ulipwe...wao wamejaza fomu kuanzia Nov 1 sasa hawa watalipwa kuanzia january ...kwenye kudai mafao haujaz fomu leo ukalipwa kesho lazma usubiri wahakiki kwanza ndio ulipweTaarifa za Serikali ya Tanzania zilieleza kwamba, Rais Samia aliagiza wenye vyeti feki walioondolewa kazini na serikali ya awamu ya 5, walipwe stahiki zao kuanzia Novemba mosi.
Vyombo vya habari vilivyonunuliwa na vile vile vilivyojipendekeza vikaripoti habari hiyo kwa mashamsham.
View attachment 2433982
Bali uchunguzi wetu umebaini kwamba hadi kufikia leo, zaidi ya mwezi tangu tamko la Rais, hakuna mhanga yoyote aliyelipwa chochote, na kuna taarifa kwamba hawatolipwa milele.
Ikumbukwe kwamba wahanga hawa idadi yao ni kama elfu 10 na ushee tu, kisingizio chochote cha sijui kuna mchakato yakinifu ni sawa na uongo wa mchana.
Watanzania siyo wajinga kihivyo, kama Magufuli aliwadhalilisha na waliridhika kwanini nyie muwadanganye?
Mlolongo ulikuepo..walifanya uhakikia wa vyeti kwa mud mrefu tu,wakawabaini ,tar 1/5/2017 kupitia hotuba ya mheshimiwa rais wakaamriwa kuacha kaz mara moja kwa ridhaa yao wenyew...au unazungumzia mlolongo upiMbona kwenye kuwatimua hakukuwa na mlolongo ?
Kama sio wajinga msingekubali kuaminishwa kwamba kufoji elimu haina tatizo.Watanzania siyo wajinga kihivyo, kama Magufuli aliwadhalilisha na waliridhika kwanini nyie muwadanganye?
Chochote kinacho husu fedha, huchukua muda kutekelezwa, hasa kwenye malipo.Mbona kwenye kuwatimua hakukuwa na mlolongo ?
Uongo utakusaidia nini ?Mlolongo ulikuepo..walifanya uhakikia wa vyeti kwa mud mrefu tu,wakawabaini ,tar 1/5/2017 kupitia hotuba ya mheshimiwa rais wakaamriwa kuacha kaz mara moja kwa ridhaa yao wenyew...au unazungumzia mlolongo upi