Subduction Zone
Member
- Nov 3, 2019
- 47
- 32
Habari,
Kutokana na umbali nilipo nimeshindwa kufika Brela kuulizia hili jambo. Imani yangu hapa JF kuna watu wanajua jambo hili.
Je ni hatua zipi niweze kuzifuata ili kujitoa kuwa Director kwenye kampuni na kumuingiza mke wangu ndio awe mmoja wa Director?
Ndio kwanza kampuni imeanza shughuli zake, ila nimeona mimi nijitoe niendelee na mambo mengine.
Asanteni
Kutokana na umbali nilipo nimeshindwa kufika Brela kuulizia hili jambo. Imani yangu hapa JF kuna watu wanajua jambo hili.
Je ni hatua zipi niweze kuzifuata ili kujitoa kuwa Director kwenye kampuni na kumuingiza mke wangu ndio awe mmoja wa Director?
Ndio kwanza kampuni imeanza shughuli zake, ila nimeona mimi nijitoe niendelee na mambo mengine.
Asanteni