1. Ni kweli unampango wa kugombea urais mwaka 2015?
2. Vipi mbona haufanyi kampeni za Mgombea urais wa Chadema Dr Slaa?
3. Ni kweli kuwa wewe na Dr Slaa hampikiki chungu kimoja (hamuivi)
Zitto,
Tutegemee kauli gani kutoka kwako juu ya serikali ya awamu ya nne (Mafisadi +++) kwamba JK amefanya mambo makubwa jimboni kwako!!!!?????? hivyo anafaa
Je, watanzania wanahitaji kujua hilo wakati huu wa mapambano dhidi ya adui yao???????? kama baadhi ya taarifa zilivyo ku-quote.
Je kama hayo yaliyofanywa kwako ilikuwa hongo (kumradhi), kwann hayako tz nzima???? KAMA YAKO KWELI.
Tutakuangalia na ku coment, ila kwa vile chama fulani hakipo, hizi debate zimepoteza sana flavour, hivyo kuonekana walkover the baadhi yenu, kama ulivyokuwa mdahalo wa Seif kule ZNZ ila ni muhimu tukakusikia ukimwaga sera zenu/zako, most importantly ni conclusion yako kama utamuombea kura mgombea wenu, au utachukua Mrema style kujipigia debe la ubunge na kumpigia muungwana la urais.
Tutavinjari kuangalia. Chama TWAWALA msikichague maana kimegoma kuwa hakiitaji kura zetu za luninga. wana kiburi cha kima feather. Chademaaaaaaaaaa! Chademaaaaaaaaaa! Vema! vema!
Sawa kaka zitto, kweli siku ile kwenye mdahalo wa wagombea vibaya hukuwa kama vile ulivyo, sijui uliamkaje? na hukuwa unajiamnini kabisa, we mpiganaji usituangushe kaka.
Kama leo "machakato majimboni " ni jimboni kwa Zitto, Siwezi poteza mda wangu kwa kutizama mtu kama Zitto, kijana aliyeishiwa sera na mwenye tamaa ,anayejali maslahi yake binafsi kuliko ya wapiga kura wake.....
Zitto usikatishwe tamaa na wana CCM wewe kata mbuga , mbiga kampeni ya silaa na wabiunge wengine wa chadema , tumesha shuhudia ukimnadi mnyika , mdee na wengine, chapa kazi.
Napendekeza tuanzie hapa kuleta mada mbalimbali zinazohusu mdahalo wa wagombea ubunge majimboni. Hapa naona mgombea huyu wa cuf mr mkwaruro. Kachonga sana. Anafuatia wa appt maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.