HIMO ONE
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 128
- 7
Zitto na jk hawatofautiani sana.ukiangalia kila picha kila bango la jk ameweka pozi la picha sijui anajiandaaga saa ngapi?sasa na huyu bwana mdogog anataka sisi tupoteze muda wetu kumsikiliza antchadema?hatuna muda mzee wewe kama unataka kuuza sura uza tuu tunajua huna jipya afterall u r antchademist&corrupt na pamoja na yote unampa tafu kafulila.ulichezea wakati mkuu,sasa utahangaika sana nakuhakikishia hutarudi mjengoni this tym na hata kama ukifanikiwa kurudi u wont take long ccm watakuoa faster.
Jibu maswali ya wadau juu hapo mimi sitaki unijibu.(chademist forever)
Jibu maswali ya wadau juu hapo mimi sitaki unijibu.(chademist forever)