Mchaga na Fursa!

Mchaga na Fursa!

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,103
Nawapongeza wachaga Kwa kuchangamkia fursa iwe kwenye Biashara, Siasa au hata Dini
NB: Uzuri wana nidhamu Sana katika kutafuta na matumizi, na vitu vinaonekana tofauti na ndugu zetu wa Pwani (Tanga, Pwani, Moro, Mtwara, Lindi na Dar) wao hawapendi kazi Ila starehe kama kazi.

images (16).jpeg
 
Wachaga Ndio Waisraeli wa kweli kabisa walahi!
Mwenye Enzi Mungu endelea kuwabariki Wachaga wote!
Atakae mlaani Mchaga, atalaaniwa bali Mchaga atabarikiwa!
Atakaye mbariki Mchaga, atabarikiwa na Mchaga atabarikiwa!
Hizo ndizo baraka za kweli kutoka kwa Mwenye Enzi Mungu walahi!
 
Back
Top Bottom