lol...akutukanaye hakuchagulii tusi... unabahati hapa ni kwenye jukwaa la utani!
Jamani Rejao kwanza nilikumiss! Ulikuwa wapi? Naona tayari umeshafanyiwa na ile operation ya ngozi ukawekewa ile ya kitimoto. Umefanyia wapi? India? Ndiyo maana uliadimika!
lol...akutukanaye hakuchagulii tusi... unabahati hapa ni kwenye jukwaa la utani!
hapa namvutia tu kasi...Usijali mkuu, akiingia kwenye kumi na nane zako na wewe mpe...
Mchaga mmoja alikuwa akifanya biashara ya kuuza vacuum dry cleaners.Siku moja mchaga akiwa na vacuum dry cleaner zake alipiga hodi nyumbani kwa baunsa mmoja.Alipofunguliwa mlango,akatoa salamu halafu bila kuremba akamwaga kinyesi cha mbwa kwenye carpet la manyoya halafu akasema;'aisee babaangu,hii vacuum dry cleaner isipoondoa hiki kinyesi chote,kitakachobaki nitakula mwenyewe'.Baunsa akajibu;'we sema tu una hamu ya kula mavi ya mbwa,umeme wenyewe umekatika'.
Kumbaav...aisee chalii angu nitakutoa nduki...unanisinizia !huyo alikua ni mkude gangwe sio mangi Yesuuu
kha! Ila kwa nini mchaga?
Mchaga mmoja alikuwa akifanya biashara ya kuuza vacuum dry cleaners.Siku moja mchaga akiwa na vacuum dry cleaner zake alipiga hodi nyumbani kwa baunsa mmoja.Alipofunguliwa mlango,akatoa salamu halafu bila kuremba akamwaga kinyesi cha mbwa kwenye carpet la manyoya halafu akasema;'aisee babaangu,hii vacuum dry cleaner isipoondoa hiki kinyesi chote,kitakachobaki nitakula mwenyewe'.Baunsa akajibu;'we sema tu una hamu ya kula mavi ya mbwa,umeme wenyewe umekatika'.
Ivi kwann kila comment yako lazma uandke nalog off....am just askinghahahahaha dah! Huyo kazi alikuwa nayo,je hawakum Cameron? Nalog off
Ivi kwann kila comment yako lazma uandke nalog off....am just asking
Ivi kwann kila comment yako lazma uandke nalog off....am just asking