Mch Rwakatare afilisi kiwanda cha Mang'ula Engineering Company Kilombelo!

Mwamakula

JF-Expert Member
Nov 7, 2010
1,890
382
Kiwanda cha Mang'ula Kilombelo ni Mbaya baada ya Kukabidhiwa Mama Rwakatare mwaka 2007 mda mfupi baada ya kupata ubunge .Mpaka sasa Mama Rwakatare amebadilisha matumizi yake na kusabasha wananch kuiomba gvt kurejesha kwa umm.Eneo la Kiwanda linatumika kama madarasa ya St.Mary International .Mwaka 2007 Kamati ya Bunge Poac ilishauri gvt kuvunja mkataba baada ya Mama Rwakatare kushindwa kuendeleza mradi huo.Mwaka jana April 6 Mh Susan Kiwanga Wa Chadema alichangia Bunge na kuitaka kamati itembelee kiwanda hicho baada ya wananchi kulalamika na kukosa ajira baada ya kufukuzwa .
 
Labda anataka kusogeza huduma ya uponyaji, wananchi wawe wavumilivu. Si unajua siku hizi watu hawasemi wanasali kanisa gani kamailivyokuwa zamani, bali wanasema wanasali kwa nani!!!!.
 
Je kuna nini humu,Forum haipatikani kiarhisi nini tatizo,
Wadau kuna nini au mgomo wa maDr umeingia na humu ndani????
 
Kiwanda cha Mang'ula Kilombelo ni Mbaya baada ya Kukabidhiwa Mama Rwakatare mwaka 2007 mda mfupi baada ya kupata ubunge .Mpaka sasa Mama Rwakatare amebadilisha matumizi yake na kusabasha wananch kuiomba gvt kurejesha kwa umm.Eneo la Kiwanda linatumika kama madarasa ya St.Mary International .Mwaka 2007 Kamati ya Bunge Poac ilishauri gvt kuvunja mkataba baada ya Mama Rwakatare kushindwa kuendeleza mradi huo.Mwaka jana April 6 Mh Susan Kiwanga Wa Chadema alichangia Bunge na kuitaka kamati itembelee kiwanda hicho baada ya wananchi kulalamika na kukosa ajira baada ya kufukuzwa .

Duniani kuna mambo - mbele za watu unasimama unajitambulisha: MJASIRIAMALI/MCHUNGAJI/MTUME/MWANASIASA Lol
 
inatia hata hasira. Yaani manufacturing company (producing mechanical and machine tools) mnakifanya sekondari ya St. Marys????????? Nilipita ktk kiwanda kile nikashindwa kuamini jinsi uharibifu ulivyofanyika. Angekuwepo Mwalimu sijui wangemweleza nini leo hii.
 
Roho ya bwana iwe nanyi X 2.
Amani ya bwana iwe nanyi X 3.
Mchungaji wenu nimeoteshwa na malaika wa bwana ili niende kukitumia kiwanda hicho kwa matumizi binafsi ya kimaendeleo.Wote wanaojaribu kunipinga watashindwa vibaya.
Hekima wa bwana haichunguziki X 2
Makusudio ya mtumishi wa bwana hayapingiki X 3.
Haleluyah.
N.B:Wizi wa kiroho huo.
 
Too late
alichounganisha mungu mwanadamu awezi kukitenganisha '
unahisi rahisi kuuua mkataba hivyo jaribu wa madini kwanza uende kw amamarwakatare
 
Mh hii sasa kali, nafikiri wakati magambaz wanagawiana nyumba za gvt yeye hakupata hivyo wameamua kumpa hako kaeneo. Kwani simnamkumbuka adamjee? Maana nae alipewa danganyika peckers
 
asilimia 80 ya viwanda ua miradi iliyobinafsishwa na serikali wamiliki wapya wamebadilisha matumizi yake bila ya kutoa taarifa serikalini na serikali imekaa kimya tu ata kiwanda cha kutotoresha vifaranga kilichopo banana ukonga sasa kimegeuzwa bar na maduka , vipo vingi vimefanya hivi lakini kwanini mtoa hoja ameamua kuandika ya mama huyu pekee?
 
asilimia 80 ya viwanda ua miradi iliyobinafsishwa na serikali wamiliki wapya wamebadilisha matumizi yake bila ya kutoa taarifa serikalini na serikali imekaa kimya tu ata kiwanda cha kutotoresha vifaranga kilichopo banana ukonga sasa kimegeuzwa bar na maduka , vipo vingi vimefanya hivi lakini kwanini mtoa hoja ameamua kuandika ya mama huyu pekee?

Nafikiri ndiyo anataarifa nayo
 
Hii kali jamani. Huyu mama si aliwahi kutuhumiwa kujimilikisha kiwanda kule Igoma, Mwanza na kujenga sekondari yake? Hakika wanajidanganya wenyewe hawa na watakuwa kupigwa makofi na shetani siku moja kwa kumchezea Mungu.
Angalieni, mtu asiwadanganye. wengi watakuja kwa jina langu, watatoa pepo, watafufua wafu, lakini kamwe msiwafuate. shikeni mlichonacho. siku za mwisho watu watapenda mali kuliko Mungu, upendo baina yao utapoa!!!! Haleluyaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu sio mchungaji Yeye ni mchungwaji , tunamchunga asijiongezee posho, tunamchunga asidhulumu viwanda na wananchi wake, huyu badala kukaribia kuwa mtakatifu kageuka MTAKAVITU WA TZ,
 
Back
Top Bottom