Na wewe ni mmoja kati ya wale 12 waliopewa laptop na 3 million?majambazi nyieNi akiongea katika kipindi cha dk45 itv amesema ameikubali approach yake ya kupambana na ugaidi na amekuwa akimshirikisha kila hatu na wanaodhani amehongwa basi wamechoka kufikiri.
Ni akiongea katika kipindi cha dk45 itv amesema ameikubali approach yake ya kupambana na ugaidi na amekuwa akimshirikisha kila hatu na wanaodhani amehongwa basi wamechoka kufikiri.
tatizo unadhani kila jambo lazima mtu apinge,huo si ukomavu wa kisiasa.Acha kukurupuka. subiri kipindi kifike hata nusu. unadhani Tv unayo wewe tu?
Kumbe tatizo la Kagasheki lilikuwa ni kutomshirikisha muuza mitumba wa zamani pale Iringa!
Nina wasiwasi sana na huyu Msigwa mahojiano yote yeye anaitetea serikali tu na Nyalandu wake