Mch. Msigwa 'afyatuka' Bungeni...

Kama hata mtoto wa darasa la pili anamkubali msigwa kuwa aliongea vitu vya maana sasa wewe mwenye phd itakuaje ?unaesema hakuna kitu.pole wasomi wetu.ndio maana mtoto tanzania amedumaa hakui yupo pale pale.ni kwa sababu wengi wa wabunge pale wana akili finyu sana sana.hawastahili kuwepo pale.uchaguzi unaokuja utasadia kuwang'oa ili wapate nafasi kwenda kuendeleza majungu yao kule vijiweni
 
Akili ndogo inatawala akili kubwa,hiyo ndio ccm,pole mchungaji.
 
Mmmhhhhh, ptuuuuu!!!
 
Mh Msigwa wenye akili na wamekusikia vilaza wamebaki mabwepande wanasubiri kuteka mwingine tena
 

Starn, kuna sehemu inasema mtu kama ni kiongozi wa dini au aliwahi kuwa kiongozi wa dini kama Imam, mchungaji au Monks haruhusiwi kuongoza wananchi kuwatoa katika maisha mabaya na ya kuonewa na kuwapeleka kwenye haki na mafanikio?

Askofu Makarios wa Cyprus aliamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha siasa baada ya kuona viongozi ni dhaifu na akawaongoza vizuri wananch wa Cyprus, Ayatollah Khomein wa Iran aliongoza mapinduzi ya kiislamu kuondoa utawala wa Shah kutoka katika unyonyaji na manyanyaso ya Shah wa Iran, Askofu Desmond Tutu aliongoza harakati za kudai haki kule Afrika ya Kusini dhidi ya Makaburu na kushinda tuzo la nobel, Monk wa Budha Dalai Lama amekuwa akiongoza na bado anaongoza mapambano dhidi ya Utawala wa kimabavu wa China juu ya nchi yake ya Tibet, pia Askofu mkuu wa Manila Jaime Lachica Sin aliongoza mapinduzi nchini Ufilipino yajulikanayo "people power revolution" kumng'oa Dikteta Ferdinand Marcos na kumuweka madarakani Bibi Corazon Aquino baada ya mumewe aliyekuwa kiongozi wa upinzani Seneta Benigno Aquino Jr kuuawa na utawala wa Dikteta Jenerali Marcos.

Kwa mifano hiyo mchungaji Msigwa anawajibu wa kutetea haki za watanzania dhidi ya unyonyaji wa magamba ambao wanatakiwa kutoka madarakani haraka kabla nchi haijaharibika zaidi
 
iko poa sana, but peleka kwenye jukwaa la kumbukumbu
 
asante mchungaji kwa darasa safi hw dd i mc this naamin utakuwa mfano kuwachunga hao kondoo ndani ya bunge
 
Da! Tanzania ina vichwa bwana why mh. Kikwete havitumii? Kweli tanzania tutaangamia wakati tuna rasilimali watu kama hawa. Cheki sasa walimu wenzangu wameanza kujichukulia chao mapema kwa wanafunzi (500). Huko mbeya "Survival for the fittest" kweli hii kitu iwekwe kwenye kumbukumbu. Leo hii habari naenda kufundishia shuleni kwa walimu na wanafunzi pia. Asante uliye irudisha tena.
 
Amenitoa machozi kuna watu watasaga meno juu ukatili wanaofanyia watu wa tsifa hili mchungaji ameongea kwa uchungu kabisa inasikitisha jamani magamba mmeshindwa ondokeni ama,
 
Tukiacha U-Vyama hii Speech nadhan ndio the best Speech ever since Year 1900 pengine mpaka Year 3000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…