Mch lusekelo vs gwajima nani tajiri

Mch lusekelo vs gwajima nani tajiri

Attachments

  • TMPDOODLE1487514321844.jpg
    TMPDOODLE1487514321844.jpg
    34.2 KB · Views: 29
Halafu ukishajua itakusaidia nini au utafaidika na nn? Fanya yako acha kufwatilia mambo ya watu,huo ndio tunaita umbea!!! Mwanaume unakuwa kama binti!


Dhaaa jf hii

Watu kwa michambo
 
Hao wote hakuna alieko
Kwny din n pesa tu wanataka
 
Dah nikafikir na mimi tapata majibu duhh pole mtoa mada wote wamekuchenjia...
 
Naomba kujua ni yupi tajiri zaidi na mwenye waumini wengi kati ya gwajima na lusekelo

Pia naomba kujua nani anaheshimika zaidi na jamii

Mwisho naomba kujua nani mkongwe zaidi aliyeanza kitambo uhubiri

Asanteni
Gwajima na wewe mtoa uzi nani tajiri
 
Naonaga BBC na majarida mbali mbali wanawaelezea watu matajiri duniani leo ndio najua kumbe nao ni wambea tusasa wewe unaetaka kujua tz ilipata uhuru mwaka gani kama cyo umbea ni nini
Hahahaa
 
Back
Top Bottom