Mch. Lusekelo na siasa

wewe uliye tuma hii thread una akili kweli au unakurupuka tu......... unatumia kichwa chako kufikiri au kufugia nywele tu...... uliangalia kipindi chote au hadithiwa na mtu.......... tatizo watu wengi walio kama wewe hawapendi kufuatilia jambo kwa undani ila wanakurupuka tu..........yeye kaeleza wazi that hawa ccm wengi wao wana mawazo mgando...... as wanafananisha nyakati hizi na zile za 1980's....... wanawatia usugu wa tz kwa kutumia polisi in siasa badala ya kujibu hoja za siasa kwa kutumia hija nzito zaidi mwisho akasema ukweli that ccm kilisaidia kupigania uhuru wa Africa kipindi hicho kilikuwa kinaitwa TANU sa wewe unabisha nini au unakurupuka tu.............. jipange mjombaaaaaaa acha paparaaaaaaaaaa
 
Aliyeleta Uzi huu lazima awe mtu wa mizaha mibaya hasa (a real bad joker). Mods inabidi pia msiruhusu nyuzi zinazopindisha facts kuwemo humu. Basi angalau muweekeeni angalizo (NB) kuhusu kilichosemwa hasa na Mch. Lusekelo.
 

Incomplete investigation... Poor, lazy mind and very short-sited thinking. Wewe umeangalia kwenye hicho kipindi au umesimuliwa?! Yaani uwezo wako wa kufikiri na kupambanua mambo ndo ukaishia kusema upuuzi huu? What kind of analysis is this? Damn big loophole... Your assertion can't even hold water tight! Acha unafiki wewe, huu ni uchochezi!

Nimesikiliza kipindi mwanzo mwisho! Na hayo madai yako sijui umeya-frame kutokana na nini.

Poor you! Hujachelewa, darasa la kwanza wanaanza kuandikisha January, Kuanza upya sio ujinga mjomba!
 

hapo bold ndipo ulipoharibu zaid.Huna chama lakini andiko lako linaonesha una chama.Kama huoni tatizo kwa CCM huna ndugu walioko vijijini.Hata baba yako naweza kuambiwa hajafanya lolote katika uhai wake lakini kubwa analoweza kuambiwa kafanya ni kuwa amekuzaa wewe.Hatumaanishi kuwa kutokufanya la maana basi hakuna kunachoonekana.Kuwa msomaji zaidi badala ya kutoa hoja za kujikanganyanya mwenyewe.
 
Analinda maisha yake kwakuwa anajua Chama cha mabwepande kina allegy nao na tena anaifahamu orodha ya wahanga wote, Uli + mwa - kyembe; ndosya; ngosi, ikusa. WHO IS NEXT?!

Haä! Haaa! Mkuu umesahau Nyaulawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…