Hivi kunakuwaga na maombi ya kisasi?!makonda huyu afundishwe misingi ya uongozi(rule of law) yeye sio polisi wala mahakama
Gwajima kategwa na Makonda asipokuwa makini kanisa lake pale kawe litafurumushwa kwa kasi ya Ajabu.Kuna masharti na mambo ambayo NGO ikiwemo hiyo ya Gwajima inabidi iyafanye au izingatie katika utendaji wake ikikiuka yaweza futiwa usajili mkuu wa wilaya akiita sio wito mdogo.Kuhojiwa na polisi hakuondoi yeye kwenda kwa mkuu wa wilaya.Mkuu wa wilaya ana kazi zake kuhusiana na NGO na polisi wana kazi zao kuhusiana na mambo ya kazi zao.
Sina uhakika kama wakristo wana maombi ya kisasi ninachojua waislamu wanaweza kukusomea albadri.Hivi kunakuwaga na maombi ya kisasi?!makonda huyu afundishwe misingi ya uongozi(rule of law) yeye sio polisi wala mahakama
Mimi binafsi namuona Paul Makonda kama mtu
aliyejiona kafika! Pia ulevi wa madaraka umeshamvaa! Anaanzaje kumpa amri Gwajima mtumishi wa Mungu mwenye wafuasi maelfu kwa maelfu aripoti kwako watu wengine wawe wanajifunza kutumia akili!
Stupid DC!
Mimi mwenyewe naishi Kinondoni!
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Anaanzaje kumpa amri Gwajima mtumishi wa Mungu mwenye wafuasi maelfu kwa maelfu aripoti kwako watu wengine wawe wanajifunza kutumia akili!
Stupid DC!
Tambua kuwa makonda anasaka Sababu ya kumfukuza Gwajima pale Kawe, sasa alitoa Amri ya kuripoti akiamini kuwa Gwajima lazima ataipuuza hivyo wao kupata Sababu ya kwenda kumtoa nduki.
Tambua kuwa makonda anasaka Sababu ya kumfukuza Gwajima pale Kawe, sasa alitoa Amri ya kuripoti akiamini kuwa Gwajima lazima ataipuuza hivyo wao kupata Sababu ya kwenda kumtoa nduki.
Makonda kamtega Gwajima na sasa Gwajima kaingia kwenye mtego kirahisi tena wafuasi wake badala ya kushauri vizuri wanamchochea azidi kujiharibia zaidi.Mbona kamanfda Kova hana muumini wala mfuasi wake hata mmoja mbona alipomwambia Gwajima aende kuripoti kwake mbona Gwajima alienda mbio tena kwa miguu baada ya kuona foleni ya magari inamchelewesha?
Kwenye mambo ya NGO mkuu wa wilaya ana nguvu kuliko Kamanda KOVA.
Gwajima anachezea moto.Hamjui mikuu wa wilaya ni nani anadhani naye ni mmoja wa hao misukule wake.Shauri yake wale mnaomuunga mkono asiende msije kuja kupiga yowe hapa tena kulalamika
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Kova sawa! Lile ni jeshi la polisi ambalo linafanya kazi chini ya sheria inayoliongoza! Huyu D.C. ana mamlaka gani ya kufanya hivyo? Huo ni ulevi wa madaraka na kutokutumia akili!Mbona kamanfda Kova hana muumini wala mfuasi wake hata mmoja mbona alipomwambia Gwajima aende kuripoti kwake mbona Gwajima alienda mbio tena kwa miguu baada ya kuona foleni ya magari inamchelewesha?
Kwenye mambo ya NGO mkuu wa wilaya ana nguvu kuliko Kamanda KOVA.
Gwajima anachezea moto.Hamjui mikuu wa wilaya ni nani anadhani naye ni mmoja wa hao misukule wake.Shauri yake wale mnaomuunga mkono asiende msije kuja kupiga yowe hapa tena kulalamika
Hivi kunakuwaga na maombi ya kisasi?!makonda huyu afundishwe misingi ya uongozi(rule of law) yeye sio polisi wala mahakama
sema kwasababu hivi vyeo vya ukuu wa wilaya ni vyakupewa na si lazima watazame uwezo. hebu jiulize hata wewe akikuita makonda utaenda kwasababu kula lamaana unalotegemea? au utaenda tu basi ufanyeje ni mkuu wa wilaya WAKUTEULIWA?