Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,416
- 15,969
Kabila lake ni mcomecomeTatizo mc pilipili sio mbunifu nimehuzuria sherehe nne nakuta mc pilipili anarudia yaleyale kila sherehe..... halafu anapenda kumwiga Omondi... sjui kabila gani huyu
Kabila lake ni mcomecomeTatizo mc pilipili sio mbunifu nimehuzuria sherehe nne nakuta mc pilipili anarudia yaleyale kila sherehe..... halafu anapenda kumwiga Omondi... sjui kabila gani huyu
hivi likizo fupi ya wanafunzi imeanza eti, bora mfungue shule tu maanaMchekeshaji nguli duniani MC Pilipili anastahili kutunukiwa shahada ya udaktari wa heshima kufutia kufanikiwa kuwa-inspire vijana wengi kujiunga na u-MC.