Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Mc: sasa nawapa sifa kubwa ya bi harusi..
Tangu namfahamu yeye huwa havai nguo za ndani..
. . . . Watu wote ukumbini wakaduwaa, macho yakamtoka bwana harusi, bi harus akaanza kutetemeka..
Mc akasema: "narudia tena kwa msisitizo, na sijakosea, huyu bi harusi havai kabisa nguo za ndani.."
Yeye anavaa nguo za nje tu, kutoka italy, england, usa, wala sio za hapo kariakoo.. Makofi na vigelegele . .
Watu: ahaa..a aaa
Tangu namfahamu yeye huwa havai nguo za ndani..
. . . . Watu wote ukumbini wakaduwaa, macho yakamtoka bwana harusi, bi harus akaanza kutetemeka..
Mc akasema: "narudia tena kwa msisitizo, na sijakosea, huyu bi harusi havai kabisa nguo za ndani.."
Yeye anavaa nguo za nje tu, kutoka italy, england, usa, wala sio za hapo kariakoo.. Makofi na vigelegele . .
Watu: ahaa..a aaa