Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Nimeangalia taarifa ya hbr TBC, Naibu waziri wa elimu kakusanya waandishi wa hbr na kwenda kuifunga shule kongwe ya binafsi Central sec pale Dom. Eti haina mwalim wa taaluma mara wa nidhamu na eti meneja wa shule sio mwalimu na pia eti walimu wengi wanaofundisha hapo ni part time.
my take: Akaanze kufunga shule za serikali zenye mwalim huyo huyo ndo headmaster, taaluma, vifaa, michezo, muhasibu nk. Maisha bwana, wakati mawaziri wengine wamebandika plate no za stk badala ya W au NW wengine wako busy na waandishi ili waonekane wasitoswe kwenye cabinet mpya. kazi kweli kweli.
my take: Akaanze kufunga shule za serikali zenye mwalim huyo huyo ndo headmaster, taaluma, vifaa, michezo, muhasibu nk. Maisha bwana, wakati mawaziri wengine wamebandika plate no za stk badala ya W au NW wengine wako busy na waandishi ili waonekane wasitoswe kwenye cabinet mpya. kazi kweli kweli.