Mbwembwe za Mh Mulugo kwenye shule za wenzake

Mjenda Chilo

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
1,467
513
Nimeangalia taarifa ya hbr TBC, Naibu waziri wa elimu kakusanya waandishi wa hbr na kwenda kuifunga shule kongwe ya binafsi Central sec pale Dom. Eti haina mwalim wa taaluma mara wa nidhamu na eti meneja wa shule sio mwalimu na pia eti walimu wengi wanaofundisha hapo ni part time.
my take: Akaanze kufunga shule za serikali zenye mwalim huyo huyo ndo headmaster, taaluma, vifaa, michezo, muhasibu nk. Maisha bwana, wakati mawaziri wengine wamebandika plate no za stk badala ya W au NW wengine wako busy na waandishi ili waonekane wasitoswe kwenye cabinet mpya. kazi kweli kweli.
 
Nimeangalia taarifa ya hbr TBC, Naibu waziri wa elimu kakusanya waandishi wa hbr na kwenda kuifunga shule kongwe ya binafsi Central sec pale Dom. Eti haina mwalim wa taaluma mara wa nidhamu na eti meneja wa shule sio mwalimu na pia eti walimu wengi wanaofundisha hapo ni part time.
my take: Akaanze kufunga shule za serikali zenye mwalim huyo huyo ndo headmaster, taaluma, vifaa, michezo, muhasibu nk. Maisha bwana, wakati mawaziri wengine wamebandika plate no za stk badala ya W au NW wengine wako busy na waandishi ili waonekane wasitoswe kwenye cabinet mpya. kazi kweli kweli.

Mpenda sifa sana huyu. Haitapita wiki wataifungulia tu.
 
Jf bwana waziri akiwa mchapa kazi mnaanza kumpiga madongo tena akiwa mzembe anapigwa tena madongo sasa sijui tuamini lipi.by the way mi nadhani Mulungo anapiga sana kazi hadi amemfunika waziri mhusika,kama vp apewe tu uwaziri kamili wa wizara ya elimu.
 
Kuna uvivu mkubwa sana wa kufikiri huko serikalini. Unafungaje shule ghafla bila kutoa alternative kwa watoto walio darasani? Tunaambiwa hii shule ni kongwe, je, unafunga halafu watoto waende wapi? Kwa nini waziri asitoe muda kwa uongozi wa shule kurekebisha mambo na kama hilo halikufanyika ndio hatua nyingine zifuate?

Na kama ubora ni tatizo huyu Mulugo anaweza kusema shule za kata zina ubora gani? Na kwa nini bado zipo?
 
Kuna uvivu mkubwa sana wa kufikiri huko serikalini. Unafungaje shule ghafla bila kutoa alternative kwa watoto walio darasani? Tunaambiwa hii shule ni kongwe, je, unafunga halafu watoto waende wapi? Kwa nini waziri asitoe muda kwa uongozi wa shule kurekebisha mambo na kama hilo halikufanyika ndio hatua nyingine zifuate?

Na kama ubora ni tatizo huyu Mulugo anaweza kusema shule za kata zina ubora gani? Na kwa nini bado zipo?

well said bro!
 
kabla hajabomoa kwa wengine abomoe kwanza kwake
hivi shule za kata ambazo zina mwalimu mmoja tu hazioni?
hazina vifaa vya maabara na mahitaji mengineyo
nadhani huyu anajiharibia sifa kwani uozo huo huko shule za serikali mbona hazifungi?
labda kwa hili anadhani JK atampendelea ampe wizara kama kiongozi,akamuulize mwenzio mwantumu yu wapi
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mkuu umesema neno,hyu jamaa ovyo kweli,aanze shle za kata kwanza,kama kuna shule itabaki.Hizo ni mbwembwe za kifala
 
Mi nadhani anapaswa kufanya utafiti na kupata ukweli kuhusu changamoto zinazozikabili shule zetu, hiyo ni sehemu ndogo sana, lakini shule za Serikali ndiyo zenye matatizo makubwa.
 
Mh. Mulugo anapiga kazi kuliko hata waziri wake!!! mbona ya Magufuli hamsemi akiwa anabomoa waliojenga hifadhi ya roads? shule zilizidi kuibuka bila mipango mtu anakurupuka anaanzisha shule mwisho wa siku vijana wanashindwa kufanya mitihani kisa usajili!! shule zingine hazifundishi walimu wake wanashiriki kuiba mitihani ili shule yake ionekane bora..Mwacheni naibu afanye kazi yake
 
Nimeambiwa suala la kuifungia Central ni fitna kati ya rafiki yake-mwenye Martin Luther na mmiliki wa Central -mwl. Kigala. Mchezo ni huu; Luther ni kama shule ya kata, ina jina kubwa lakini darasa limerundika wanafunz, hivyo kumfanya mwanafunzi atoke kapa darasani. Wazazi wakigundua wanawatoa watoto wao na kuwapeleka central... Kwa kuwa mwenye Luther ni mshikaji wa Mulugo akamwambia Kigala, utaona! Na kweli sasa anaona. Wakuu wafuatilie sakata hili watafute ukweli, siyo kumwachia Mulugo aingize ushikaji kwenye kazi. Nawasilisha
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nimeambiwa suala la kuifungia Central ni fitna kati ya rafiki yake-mwenye Martin Luther na mmiliki wa Central -mwl. Kigala. Mchezo ni huu; Luther ni kama shule ya kata, ina jina kubwa lakini darasa limerundika wanafunz, hivyo kumfanya mwanafunzi atoke kapa darasani. Wazazi wakigundua wanawatoa watoto wao na kuwapeleka central... Kwa kuwa mwenye Luther ni mshikaji wa Mulugo akamwambia Kigala, utaona! Na kweli sasa anaona. Wakuu wafuatilie sakata hili watafute ukweli, siyo kumwachia Mulugo aingize ushikaji kwenye kazi. Nawasilisha

Wanadodoma tufahamisheni. Je Martin Luther ni shule ya Sekondari au la?
 
nimeangalia taarifa ya hbr tbc, naibu waziri wa elimu kakusanya waandishi wa hbr na kwenda kuifunga shule kongwe ya binafsi central sec pale dom. Eti haina mwalim wa taaluma mara wa nidhamu na eti meneja wa shule sio mwalimu na pia eti walimu wengi wanaofundisha hapo ni part time.
My take: Akaanze kufunga shule za serikali zenye mwalim huyo huyo ndo headmaster, taaluma, vifaa, michezo, muhasibu nk. Maisha bwana, wakati mawaziri wengine wamebandika plate no za stk badala ya w au nw wengine wako busy na waandishi ili waonekane wasitoswe kwenye cabinet mpya. Kazi kweli kweli.

ulogi wa huyu naibu waziri ni balaa,haipiti muda mrefu ni lazima aende mashewa na maji marefu,hivyo ayatendayo ni strategies ndani ya defencing mechanism tu.mali alizo nazo ni za mashaka.mipango yake hufanya kama el[taasisi za dini].kifupi si mtu mwenye naksh nzuri katika 'virgin jobs'.
 
Nimeambiwa suala la kuifungia Central ni fitna kati ya rafiki yake-mwenye Martin Luther na mmiliki wa Central -mwl. Kigala. Mchezo ni huu; Luther ni kama shule ya kata, ina jina kubwa lakini darasa limerundika wanafunz, hivyo kumfanya mwanafunzi atoke kapa darasani. Wazazi wakigundua wanawatoa watoto wao na kuwapeleka central... Kwa kuwa mwenye Luther ni mshikaji wa Mulugo akamwambia Kigala, utaona! Na kweli sasa anaona. Wakuu wafuatilie sakata hili watafute ukweli, siyo kumwachia Mulugo aingize ushikaji kwenye kazi. Nawasilisha

mkuu mmiliki wa Martin Luther ni nani?
 
Jf bwana waziri akiwa mchapa kazi mnaanza kumpiga madongo tena akiwa mzembe anapigwa tena madongo sasa sijui tuamini lipi.by the way mi nadhani Mulungo anapiga sana kazi hadi amemfunika waziri mhusika,kama vp apewe tu uwaziri kamili wa wizara ya elimu.
Anapiga kazi zipi? Huko kufungia shule za wenzake ndo unaita kupiga kazi, hizo sio kazi zake ni kazi za afisaelimu mkaguzi wa kanda mi nadhani jamaa hajui majukumu yake au anapenda coverage
 
Mmmh "NW" loh;
Bandugu mwenye kuweza kutuwekea overall results za skuli hii hapa tafadhari namuomba afanye hivyo"
 
Huyo Waziri aende shule ya Kibiti,hakuna waalimu A-level hasa sayansi na waalimu wanaotumika ni wa part time,kama ana courage afunge michepuo ya sayansi hapo Kibiti kwani ni waste of resource and time.
 
Back
Top Bottom