Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,444
Nimetoka kwenye page ya Aston Villa sasa hivi kwenye ile picha ya Samatta,comments za wabongo zinamake my night 🤣🤣🤣
Sasa bora kule Aston Villa tulikuwa tunaelewa kinachoandikwa na ubavu wa kujibu comments za waEngland tunao
Huku Fenerbahce najiandaa kucheka zaidi,manake sisi hatuwaelewi na wao hawatuelewi!
Samatta anatufanya tuanze kuangalia mpira wa Uturuki sasa 😂😂
Sasa bora kule Aston Villa tulikuwa tunaelewa kinachoandikwa na ubavu wa kujibu comments za waEngland tunao
Huku Fenerbahce najiandaa kucheka zaidi,manake sisi hatuwaelewi na wao hawatuelewi!
Samatta anatufanya tuanze kuangalia mpira wa Uturuki sasa 😂😂