Siku nyingi sijacheka nikiwa peke yangu.He nimecheka peke yangu jamani.
Mbwa koko wawili walikuwa wanasaka chakula kwele jalala, mara ikapita Land Rover ya FFU na ndani yake kuna mbwa wa polisi;
Mbwa koko mmoja akaangalia kwa uchungu kisha akamwambia mwenzie, ' Unaona wenzetu waliosoma, wale wanaenda kazini'