Mbwa harusini

Mbwa harusini

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Ilikuwa kuna harusi, watu wamesha chinja ngombe na wanaendelea na mambo mengine. Mbwa walionekana kutocheza mbali na eneo hilo ila watoto walikuwa hawawapi raha kwa kuwalenga mawe. Kama masihara, mama mmoja akasema "nyie hao mbwa musiwapige mawe, kuna wengine si mbwa". Mbwa mmoja akajibu "hata usiseme mwenzangu".
 
huyo mama haku job 100 aliposikia mr dog anasema
 
huyo mama haku job 100 aliposikia mr dog anasema

labda iwe imemtokea mbele ya safari lkn cha kwanza kutokea kwa walio wengi ni kama marathon ya masafa mafupi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom