Sabaya hii ajira isiyo rasmi uliyoianzisha hapa jf inakwenda kukuharibia kesi maana yapo mengi uliyoyafanyana wenzako yanaandikwa hapa ma wapelelezi wa kesi zako wanayachota kirahisi tu!
Hawa uliowaajiri hawakusafishi Bali wanazidi kukupaka oil chafu!
Pambana kimyakimya kujinasua na achana na hawa watetezi njaa!
Hawa uliowaajiri hawakusafishi Bali wanazidi kukupaka oil chafu!
Pambana kimyakimya kujinasua na achana na hawa watetezi njaa!