Kuna mwana jamii mmoja yuko shinyanga
alisema kule alipo kuna mbuzi kama hao
pia wapo wanaozaa vitoto viwili viwili;
Naweza amini kuwa kwa hiyo bei
inaweza nunua hata mbuzi zaidi ya
wawili jumlisha gharama za usafiri.
Kuna mwaka na mimi nitawaagiza,
sasa naweka mazingira sawa.