Mbunge Zungu, hapa unachemsha vibaya!!!

Mbunge Zungu, hapa unachemsha vibaya!!!

Kumbuka kipindi cha uchaguzi kinakaribia. Mwanasiasa anaweza kufanya au kusema jambo lolote ili limwongezea kura - hata kama yeye binafsi haamini kile anachokisema au kufanya. Hili la Zungu ni mwanzo tu. Kadri muda wa uchaguzi unapokaribia tutaona mengi na ya kustaajabisha kuzidi hata hili la Zungu.
 
mhe zungu jana kaongea vzr sana wana jf kuhusu matatozo yaliyoletwa na mkurugenzi mpya aliyshindwa mwanza ambavyo anatka kuivurga tena dsm pmja na ttzo kubwa la machinga na jinsi serkali ambvyo hawalipi ufimbuzi mzuri ili waendelee na kazi zao
 
nakumbuka wakati ule anatetea watu wasihamishwe jangwani ikaja mvua ya ajabu mpaka watu wakapoteza maisha hao wamachinga ni wakwepaji wakubwa wa kodi wanauza bidhaa za mamilioni wakati watu wanalipia pango na kutozwa kodi lazima biashara ziendeshwe kwa mfumo unaoeleweka sana sana angeshauri ni jinsi gani serikali inaweza kuwabana walipe kodi
 
nakumbuka wakati ule anatetea watu wasihamishwe jangwani ikaja mvua ya ajabu mpaka watu wakapoteza maisha hao wamachinga ni wakwepaji wakubwa wa kodi wanauza bidhaa za mamilioni wakati watu wanalipia pango na kutozwa kodi lazima biashara ziendeshwe kwa mfumo unaoeleweka sana sana angeshauri ni jinsi gani serikali inaweza kuwabana walipe kodi
Nakubaliana mkuu.
Hawa watu tukifikiri kuishi DSM ndii kujua maendekeo kumbe tofauti kabisa.
Kwa hawa watu nafikiri shule na kukosa vision ndo tatizo.
 
Huyu unayemtetea hawasaidii wana ilala kwa ujumla wake, waliomchagua ni wananchi wa Ilala, kuruhusu watu kuudha bidhaa sehemu zisizo rasmi si kuwasaidia wana Ilala kwa upana wake.

Nafahamu na nina uhakika wa asilimia 100 huyu bwana ana-loby kw anguvu kubwa sana kubadilisha matumizi ya ardhi ya moja ya maeneo makubwa zaidi ya ardhi ya wazi hapo ilala,ili iwe kwa ajili ya matumizi binafsi, kupeleka kelele bungeni wakurugenzi wafukuzwe ni njia rahisi kwa akili yake ndogo ya ku-create havoc kufanikisha mipango yake.
Ni jambo la kusikitisha,kuwa wananchi wa ilala waliamu akuchagua mtu mwenye simple mind kama huyu, sasa watapata wanachokitaka,pindi watakapogundua jamaa kabinafsisha park zao.
mi napata tabu sana na mijitu yenye akili kama zenu! nina mashaka mmeanguliwa kama ndege mama zenu hawakupata uchungu kuwazaa! hivi kwa akili ya kawaida mbunge anaweza kubinafsisha eneo lolote lililoko kwenye halmashauri? hivi mbunge si ni miongoni mwa madiwani wanaounda Halmashauri yeyote. hivi Baraza la Madiwani si ndio lenye uwezo wa kutenga sehemu na maeneo mbalimbali ya shughuli za wananchi na kijamii katika Halmashauri husika?

ila sioni ajabu kwani maccm yote yako juu ya sheria ndo maana kuna limtu la CCM linoitwa Kimweri au Masyopank cjui linamporomoshea mbunge shutuma kuhusu machinga. Mnataka machinga wakafanyaje wakapige watu roba? au mnadhani hatumii tunaponyimwa risiti kwa hao wenye frem halafu ukitoka mita 10 unakutana na Mtu wa TRA anakunyanganya mali yako?
 
nakumbuka wakati ule anatetea watu wasihamishwe jangwani ikaja mvua ya ajabu mpaka watu wakapoteza maisha hao wamachinga ni wakwepaji wakubwa wa kodi wanauza bidhaa za mamilioni wakati watu wanalipia pango na kutozwa kodi lazima biashara ziendeshwe kwa mfumo unaoeleweka sana sana angeshauri ni jinsi gani serikali inaweza kuwabana walipe kodi
kuna ma giant yanafanya biashara kubwa lakini hayalipi kodi! na kwa sababu CCM ni muumini mzuri wa dini ya Uhalifu hayafanywi kitu lakini wafanyakazi maskini wa kitanzania na wafanyabiashara ndogo ndogo ndio wanaobebeshwa mzigo wa kodi za hao mafisadi wenu lakn kibaya zaidi hiyo kodi yenyewe ikikusanywa haitumiki ipasavyo! mifano ipo mingi escrow, epa na matakataka mengine mengi!
 
NENO mfumo ama system sikulijua vizuri hadi nikaingia maktaba kuichunguza.UGUNDUZI WA AWALI:mfumo wowote hata wa uozo una wadau wanaoufaidia yaani chooni kuna maggots ambao wanapata chakula kule.Mh. Makamba mzee alishindwa kuwatoa wakaazi wa JANGWANI ,MREMA AUGUSTINE LYATONGA hawezi kutaja jina la mke wa kigogo aliyemkamata na dhahabu DAR AEROPORTO akiwa WAZIRI WA MAMBO YA NDANI.ZUNGU LAZIMA AWATETEE MACHINGA WA ILALA KWA MASLAHI YAKE BINAFSI KIUCHUMI NA KISIASA!LENGO SIYO KULISAIDIA JIJI WALA WAMACHINGA BALI KUJISAFISHIA NJIA ZA KUTOKA KISIASA NA KUICHUMI
 
mi napata tabu sana na mijitu yenye akili kama zenu! nina mashaka mmeanguliwa kama ndege mama zenu hawakupata uchungu kuwazaa! hivi kwa akili ya kawaida mbunge anaweza kubinafsisha eneo lolote lililoko kwenye halmashauri? hivi mbunge si ni miongoni mwa madiwani wanaounda Halmashauri yeyote. hivi Baraza la Madiwani si ndio lenye uwezo wa kutenga sehemu na maeneo mbalimbali ya shughuli za wananchi na kijamii katika Halmashauri husika?

ila sioni ajabu kwani maccm yote yako juu ya sheria ndo maana kuna limtu la CCM linoitwa Kimweri au Masyopank cjui linamporomoshea mbunge shutuma kuhusu machinga. Mnataka machinga wakafanyaje wakapige watu roba? au mnadhani hatumii tunaponyimwa risiti kwa hao wenye frem halafu ukitoka mita 10 unakutana na Mtu wa TRA anakunyanganya mali yako?

Yakhe usitumie jazba, nilichoandika kuhusu zungu ndio ukweli wenyewe, wewe hujui kuwa kina Mo, walitaka kupewa hati ya Selander Bridge? hujui kuna viwanja vingapi vya wazi Dar es Salaam vilivyochukuliwa na wajanja? Dar es Salaam umekuja lini? kwa sisi tuliokuwepo miaka ya 70-80 hapo tunajua ni maeneo mangapi ya wazi sasa ni maeneo binafsi. Kama hufahamu jaribu kuuliza kwa wahusika upate taarifa zaidi.Maana hufahamu hapa JF anayeandika ni nani.ni vizuri ukagonga hodi kwenye ofisi zenye vile vibao vya ofisi ya ....,

Kukufikirisha tu kidogo, UDA iliyosababisha iddi Simba apande kwa pilato kujibu tuhuma ilikuwa chini ya nini hapo dar?wajanja kina sugar daddy wa zungu walifanyaje?kama hujui kinachoendelea dar, si vibaya ukaomba wazee wa ilala wakakufunda, kushinda kariakoo sio kujua kinachoendelea Ilala.

Kuhusu wamachinga, hili nin tatizo kwenye jamii, ni tatizo gumu, kulitatua kwa njia nyepesi sio njia sahihi ya kulitafutia ufumbuzi. Sidhani kama kuna serikali yenye akili timamu duniani, yenye kufurahia ongezeko la wamachinga mtaani. Serikali yenye akili hutafuta njia sahihi za kurasimisha hizi biashara ndogondogo, kwa kuwatafutia maeneo rasmi.
Tatizo la serikali yenu mnayoichagu ya CCM mara baada ya kurubuniwa na hao kina zungu ni kutokufikiria chanzo cha watu kuamua kuwa wamachinga. Wengi wanafanya hivyo kwa kukosa fursa za kueleweka kwenye maeneo ya uzalishaji, ajira rasmi n.kama ma-elfu wa wamachinga Dar wangekuwa mashambani japo mkuranga tu, nina imani hili lingekuwa jambo jema. Lakini hao kina Zungu mnaowachagua kila siku wanafurahia mkijazana hapo kkoo, kwa kuwa nyie ni daraja rahisi la kuwapa kura/kula.

Sio kila anayepingana na wewe kwenye jukwaa hili ni CCM au mfuasi wa CCM,wewe unakuwa na kuweweseka kama kwa CDM ambao kila mtu mwenye kuwaeleza mapungufu yao wanamwita katumwa na CCM au msaliti. Ni dalili ya kufikiria kwa kiwango cha chini sana.nakushauri punguza jazba fikiria, kama umekwama uliza.
 
Yakhe usitumie jazba, nilichoandika kuhusu zungu ndio ukweli wenyewe, wewe hujui kuwa kina Mo, walitaka kupewa hati ya Selander Bridge? hujui kuna viwanja vingapi vya wazi Dar es Salaam vilivyochukuliwa na wajanja? Dar es Salaam umekuja lini? kwa sisi tuliokuwepo miaka ya 70-80 hapo tunajua ni maeneo mangapi ya wazi sasa ni maeneo binafsi. Kama hufahamu jaribu kuuliza kwa wahusika upate taarifa zaidi.Maana hufahamu hapa JF anayeandika ni nani.ni vizuri ukagonga hodi kwenye ofisi zenye vile vibao vya ofisi ya ....,

Kukufikirisha tu kidogo, UDA iliyosababisha iddi Simba apande kwa pilato kujibu tuhuma ilikuwa chini ya nini hapo dar?wajanja kina sugar daddy wa zungu walifanyaje?kama hujui kinachoendelea dar, si vibaya ukaomba wazee wa ilala wakakufunda, kushinda kariakoo sio kujua kinachoendelea Ilala.

Kuhusu wamachinga, hili nin tatizo kwenye jamii, ni tatizo gumu, kulitatua kwa njia nyepesi sio njia sahihi ya kulitafutia ufumbuzi. Sidhani kama kuna serikali yenye akili timamu duniani, yenye kufurahia ongezeko la wamachinga mtaani. Serikali yenye akili hutafuta njia sahihi za kurasimisha hizi biashara ndogondogo, kwa kuwatafutia maeneo rasmi.
Tatizo la serikali yenu mnayoichagu ya CCM mara baada ya kurubuniwa na hao kina zungu ni kutokufikiria chanzo cha watu kuamua kuwa wamachinga. Wengi wanafanya hivyo kwa kukosa fursa za kueleweka kwenye maeneo ya uzalishaji, ajira rasmi n.kama ma-elfu wa wamachinga Dar wangekuwa mashambani japo mkuranga tu, nina imani hili lingekuwa jambo jema. Lakini hao kina Zungu mnaowachagua kila siku wanafurahia mkijazana hapo kkoo, kwa kuwa nyie ni daraja rahisi la kuwapa kura/kula.

Sio kila anayepingana na wewe kwenye jukwaa hili ni CCM au mfuasi wa CCM,wewe unakuwa na kuweweseka kama kwa CDM ambao kila mtu mwenye kuwaeleza mapungufu yao wanamwita katumwa na CCM au msaliti. Ni dalili ya kufikiria kwa kiwango cha chini sana.nakushauri punguza jazba fikiria, kama umekwama uliza.
Kweli mkuu nakubaliana.
Kama tungekuwa na wanasiasa wanalolitazama tatizo la umachinga critically na kwa malengo maalum, tatizo hili lingetatuliwa kirahisi sana.
Na hili si tatizo la CCM tu, hata CDM kule mwanza.

Kutetea uozo ni ujinga wa hali ya juu na lazima sasa we should call a spade a spade.

Mmachinga anayetetewa na wabasiasa halipi kodi, hana choo, hana mahali pa kutupa takataka.
Halafu tunashangaa mitaro ya maji ya mvua ikiziba kila mwaja kwa takataka hizo.

kiongozi anayetetea mfumo huu wa machinga hafai kukaa jijini na kuwakilisha wananchi, maana hajui vision wala maendeleo.
 
Zungu anapiga siasa sidhani hizi hatua za kuwaondoa wamachinga barabarani wanajiamulia tu bila kuwahusisha madiwani akiwemo mbunge Zumgu.Sasa leo zungu anatudanganya kwamba mtetezi wa machinga.Hivi zungu anafurahi kufanya biashara mahali popote.
 
Madawa gani mkuu. Hivi na yeye yumo! !
Ila hakufai tena huyu mh. Kitunda fanya tusitoke mabondeni kila mwaka vitu vyote via zombie na maji na yeye yupo gorofani. Barabara mbovu hadi posta, kariakoo. Ilala. Yeye kusubiri kwenda kuzika tu.ametawaliwa na siasa za zamani.
2015 hana nafasi ilala
 
Zungu majanga kweli ilala vipofu kwa kumchagua huyu. Nitawaletea sehemu ya kijiweni kwake muone uchafu uliokithiri
 
Back
Top Bottom