Mbunge wangu jembe la ukweli!

Mbunge wangu jembe la ukweli!

mageuzi1992

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2010
Posts
2,502
Reaction score
256
Baada ya kupita maeneo mbali mbali ya nchi yangu ya Tanzania nimegundua nchi yangu ni nzuri sana yenye rasilimali nyingi ila haina wawakilishi bora mfano mzuri baada ya kuzunguka nimegundua kuwa kuna watu ama hawajui hata mbunge wao alipo..ama wengine wanalia kabisa wanasema Mbunge wetu yupo Dar tu! Hatumuoni jimboni tunamsikia Dar na Dodoma tu, sasa je ni mbunge wa dar au wa jimbo letu? Mfano wa jimbo ambalo nilipita nikasikia vilio ni Shinyanga!... Inasikitisha sana.

Mimi kwa upande wangu nimewasikitikia ndugu zangu hawa kwa kufanya uamuzi mbaya....waige Jimbo Langu. Mbunge wangu ni Jembe tupo naye bega kwa bega anafuatilia mambo mengi hata pamoja na mizengwe kadhaa wa kadhaa anayokutana nayo katika utendaji wake.

ANAITWA HALIMA MDEE...BIG UP MAMA...huyu ni Mbunge wangu wa KAWE. Vipi wewe kuhusu Mbunge wako???
 
Anaitwa Deo, ni bonge la jembe na sina haja ya kuongea mengi.
 
Baada ya kupita maeneo mbali mbali ya nchi yangu ya Tanzania nimegundua nchi yangu ni nzuri sana yenye rasilimali nyingi ila haina wawakilishi bora mfano mzuri baada ya kuzunguka nimegundua kuwa kuna watu ama hawajui hata mbunge wao alipo..ama wengine wanalia kabisa wanasema Mbunge wetu yupo Dar tu! Hatumuoni jimboni tunamsikia Dar na Dodoma tu, sasa je ni mbunge wa dar au wa jimbo letu? Mfano wa jimbo ambalo nilipita nikasikia vilio ni Shinyanga!... Inasikitisha sana. Mimi kwa upande wangu nimewasikitikia ndugu zangu hawa kwa kufanya uamuzi mbaya....waige Jimbo Langu. Mbunge wangu ni Jembe tupo naye bega kwa bega anafuatilia mambo mengi hata pamoja na mizengwe kadhaa wa kadhaa anayokutana nayo katika utendaji wake. ANAITWA HALIMA MDEE...BIG UP MAMA...huyu ni Mbunge wangu wa KAWE. Vipi wewe kuhusu Mbunge wako???
Mbunge wangu anakula kisago kwa ajili ya chama chake huko Dodoma!!!
Tunamwobea apone na awakumbuke watu wake Tu!!!!!:hail::hail::hail::hail:
 
Anaitwa Deo, ni bonge la jembe na sina haja ya kuongea mengi.
Mimi mbunge wangu anaitwa George Boniface Simbachawene Mwataguluvala...Hapendi makuu na anajua kusoma alama za nyakati jambo la kusikitisha ni jinsi Tanesco wanavyotutesa kwa kukataa kutupimia na kutuwekea nguzo za umeme pale Kibakwe mjini hasa mtaa wa Kikulunge....Kila ninapokumbuka Adha hii ya kukosa umeme pale Kibakwe nahisi kugombea ubunge 2015....
 
Nani asiye jua mtu anaeitwa Godbless Jonathan Lema, huyo ndie mbunge wangu chaguo la wana wa A town, kiboko ya magamba, Dhambi kubwa, na mbaya kuliko zote Duniani ni Woga! !!
 
Baada ya kupita maeneo mbali mbali ya nchi yangu ya Tanzania nimegundua nchi yangu ni nzuri sana yenye rasilimali nyingi ila haina wawakilishi bora mfano mzuri baada ya kuzunguka nimegundua kuwa kuna watu ama hawajui hata mbunge wao alipo..ama wengine wanalia kabisa wanasema Mbunge wetu yupo Dar tu! Hatumuoni jimboni tunamsikia Dar na Dodoma tu, sasa je ni mbunge wa dar au wa jimbo letu? Mfano wa jimbo ambalo nilipita nikasikia vilio ni Shinyanga!... Inasikitisha sana. Mimi kwa upande wangu nimewasikitikia ndugu zangu hawa kwa kufanya uamuzi mbaya....waige Jimbo Langu. Mbunge wangu ni Jembe tupo naye bega kwa bega anafuatilia mambo mengi hata pamoja na mizengwe kadhaa wa kadhaa anayokutana nayo katika utendaji wake. ANAITWA HALIMA MDEE...BIG UP MAMA...huyu ni Mbunge wangu wa KAWE. Vipi wewe kuhusu Mbunge wako???

SLAA asikusikie, 2015 jimbo la Josephine Mshumbuzi.
 
Baada ya kupita maeneo mbali mbali ya nchi yangu ya Tanzania nimegundua nchi yangu ni nzuri sana yenye rasilimali nyingi ila haina wawakilishi bora mfano mzuri baada ya kuzunguka nimegundua kuwa kuna watu ama hawajui hata mbunge wao alipo..ama wengine wanalia kabisa wanasema Mbunge wetu yupo Dar tu! Hatumuoni jimboni tunamsikia Dar na Dodoma tu, sasa je ni mbunge wa dar au wa jimbo letu? Mfano wa jimbo ambalo nilipita nikasikia vilio ni Shinyanga!... Inasikitisha sana. Mimi kwa upande wangu nimewasikitikia ndugu zangu hawa kwa kufanya uamuzi mbaya....waige Jimbo Langu. Mbunge wangu ni Jembe tupo naye bega kwa bega anafuatilia mambo mengi hata pamoja na mizengwe kadhaa wa kadhaa anayokutana nayo katika utendaji wake. ANAITWA HALIMA MDEE...BIG UP MAMA...huyu ni Mbunge wangu wa KAWE. Vipi wewe kuhusu Mbunge wako???


dah, jembe langu MWIGULLU, jembe kwelikweli
 
Mimi mbunge wangu anaitwa George Boniface Simbachawene Mwataguluvala...Hapendi makuu na anajua kusoma alama za nyakati jambo la kusikitisha ni jinsi Tanesco wanavyotutesa kwa kukataa kutupimia na kutuwekea nguzo za umeme pale Kibakwe mjini hasa mtaa wa Kikulunge....Kila ninapokumbuka Adha hii ya kukosa umeme pale Kibakwe nahisi kugombea ubunge 2015....

Nimependa sana Ati unaitwa 'Mugayasida' tambo za kikwetu kwetu Hizo Raha sana
 
Nani asiye jua mtu anaeitwa Godbless Jonathan Lema, huyo ndie mbunge wangu chaguo la wana wa A town, kiboko ya magamba, Dhambi kubwa, na mbaya kuliko zote Duniani ni Woga! !!

Lema na CDM MPs ni wabunge wa kila mtu,hawana mipaka!acha ubinafsi kamanda
 
Mh.Ndesamburo ..Babuuu..Namkubali sana
 
Back
Top Bottom