Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,084
Halima Mdee 'ziro' jimbo la Kawe...najuta kwa nini sikumpigia kura Mbatia 2010! Mvua imemuumbua kwa miaka yote mi5 jimboni, na anaondoka bila suluhisho la maana mafuriko ya makazi na uharibifu wa mara kwa mara wa miundo mbinu kutokana na mvua. I rate her 0.00001%, na ni mwanaChadema damu.