VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
sikia anavyojikanyaga anashindwa kueleza kiuwazi anasema hajapigwa yeye walopigwa ni walinzi
amesema alienda na walinzi binafsi,inakuwaje mbunge anaenda jimboni mwake na walinzi binafsi??sielewi
anasema cdm hawakutengeneza mahusiano na wawekezaji na alikuwa hajui kama polisi walikuwa wanaruhusu raia kuingia mgodini
matusi redioni
leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha jahazi clouds fm, kibonde, kayanda na wasiwasi walikuwa wanajadili kuhusu kufa kwa atc, mjadala umeenda vizuri japo kibonde alikuwa anaonekana mwenye jazba sana.......kilichonishangaza ni pale alipojidai kuwa ana machungu sana na kufikia hatua ya kutoa tusi la nguoni (k****m***m**k**)nadhani watu wazima mmenielewa, hata wenzie aliokuwa nao niliwasikia wakicheka kichinichini kwa mshtuko walioupata na simu zikipigwa mfululizo,sasa linakuja swala la je....clouds fm imekuwa ya kihuni namna hii kiasi ambacho imeanza kutoa matusi ya nguoni?
nadhani kuna mliokuwa mnasikiliza pia,mtakubaliana na mimi. Kwa kweli ni fedheha.
anasema serikali itunge sheria ya kuzuia wabunge kuingia majimbo yasiyo yao na wanatarime wamechukia wabunge wasio wazawa kwenda tarime kuzuia mazishi na hatishwi na mavuvuzela mwisho kasema atahakikisha amani inarejea tarime na yeye bado mbunge ngangari wa tarime
eti hando anasema kuwa huwezi kuwa mtu wa sumbawanga ukaweza kujadili mambo ya tarime. Takataka hilo. Ila tetesi ni kuwa jana anayejiita mbunge wa tarime akiwa na chambili wamempigia simu hando na kukutana naye baa na wamemwachia bahasha kaunta.
kumbe hajui anafanya nini bungeni?
Kwani sheria wanazo tunga ni za jimbo?
Clouds fm iko kinondoni,yeye pale sio mbunge,anafanya nini huku dar?
Mbweha mkubwa
originally posted by matola
matusi redionileo nilikuwa nasikiliza kipindi cha jahazi clouds fm, kibonde, kayanda na wasiwasi walikuwa wanajadili kuhusu kufa kwa atc, mjadala umeenda vizuri japo kibonde alikuwa anaonekana mwenye jazba sana.......kilichonishangaza ni pale alipojidai kuwa ana machungu sana na kufikia hatua ya kutoa tusi la nguoni (k****m***m**k**)nadhani watu wazima mmenielewa, hata wenzie aliokuwa nao niliwasikia wakicheka kichinichini kwa mshtuko walioupata na simu zikipigwa mfululizo,sasa linakuja swala la je....clouds fm imekuwa ya kihuni namna hii kiasi ambacho imeanza kutoa matusi ya nguoni?
nadhani kuna mliokuwa mnasikiliza pia,mtakubaliana na mimi. Kwa kweli ni fedheha.
hata mimi nilisikia halafu wakalipotezeakwa kurudia ........nenda kafanye kazi kwa mama yako......wakizuga kama ndokasema hivyo.
majibu kwa huyu mbunge wa kichina yako hapo juu
yeye kakimbia jimbo na wengine watungiwe sheria wasiendee
sasa hiyo sheria wanaipa jina gani au kundi gani hati miliki ya majimbo?