Kabla ya 2015 kufika, kama nikiwa tayari basi nafikiri utajitoa tu wenyewe maana ntaingia kwa gia nzito. Ila nisipokuwa tayari basi wala siasa siingii. Ntakujulisha mwakani mwishoni.
Mie nipo zaidi mitaa ya Sikonge na vijiji vya Jirani maana hapo ndipo ukisikia jina la SIKONGE, kila mtu analifahamu. Zaidi ya hiyo basi itakuwa ni kujitangaza na kusaidia kujenga mizizi ya Chadema kwenye vijiji maana bila mizizi, Watakuchakachua na kumchakachua pia Slaa.
Mpombwe, duu huko ndani sijawahi kufika ila huwa napita tu. Mwaka jana nilipita na Camera na nikafanya hivi:
View attachment 17217View attachment 17218