Elections 2010 Mbunge wa Sikonge 2015

Usiwe na wasiwasi, mie ni Mpinzani wako na tutagongana mitaani Usupilo kijana wangu.

Nimeshaanza mikakati ya kumtoa Nkumba na kama una nia kweli basi kaza kamba maana ntacheza mechi kama Mjeruman - hadi sekunde ya mwisho kuhakikisha nakutoa wewe kwanza na mwisho nammalizia Nkumba.

Usiwe na wasiwasi, asiyekubali kushindwa si mshindani.

Ngoja niende zangu kijijini Tutuo kwa Rehani kumuona Mkwe wangu maana nasikia hajiwezi.
Wajameni,

Nakusudia kugombea ubunge Sikonge kupitia CHADEMA 2015.
 
Usiwe na wasiwasi, mie ni Mpinzani wako na tutagongana mitaani Usupilo kijana wangu.

Nimeshaanza mikakati ya kumtoa Nkumba na kama una nia kweli basi kaza kamba maana ntacheza mechi kama Mjeruman - hadi sekunde ya mwisho kuhakikisha nakutoa wewe kwanza na mwisho nammalizia Nkumba.

Usiwe na wasiwasi, asiyekubali kushindwa si mshindani.

Ngoja niende zangu kijijini Tutuo kwa Rehani kumuona Mkwe wangu maana nasikia hajiwezi.

Kavagishe! Mie nitakwenda kijijini Mpombwe mwishoni mwa Desemba. Ukinishinda nitakuunga mkono - kura za Kiwele ni zangu bila shida.
 
Kabla ya 2015 kufika, kama nikiwa tayari basi nafikiri utajitoa tu wenyewe maana ntaingia kwa gia nzito. Ila nisipokuwa tayari basi wala siasa siingii. Ntakujulisha mwakani mwishoni.

Mie nipo zaidi mitaa ya Sikonge na vijiji vya Jirani maana hapo ndipo ukisikia jina la SIKONGE, kila mtu analifahamu. Zaidi ya hiyo basi itakuwa ni kujitangaza na kusaidia kujenga mizizi ya Chadema kwenye vijiji maana bila mizizi, Watakuchakachua na kumchakachua pia Slaa.

Mpombwe, duu huko ndani sijawahi kufika ila huwa napita tu. Mwaka jana nilipita na Camera na nikafanya hivi:
attachment.php



Mpombwe 1.jpg Mpombwe.jpg
Kavagishe! Mie nitakwenda kijijini Mpombwe mwishoni mwa Desemba. Ukinishinda nitakuunga mkono - kura za Kiwele ni zangu bila shida.
 
Kabla ya 2015 kufika, kama nikiwa tayari basi nafikiri utajitoa tu wenyewe maana ntaingia kwa gia nzito. Ila nisipokuwa tayari basi wala siasa siingii. Ntakujulisha mwakani mwishoni.

Mie nipo zaidi mitaa ya Sikonge na vijiji vya Jirani maana hapo ndipo ukisikia jina la SIKONGE, kila mtu analifahamu. Zaidi ya hiyo basi itakuwa ni kujitangaza na kusaidia kujenga mizizi ya Chadema kwenye vijiji maana bila mizizi, Watakuchakachua na kumchakachua pia Slaa.

Mpombwe, duu huko ndani sijawahi kufika ila huwa napita tu. Mwaka jana nilipita na Camera na nikafanya hivi:
attachment.php



View attachment 17217View attachment 17218

Ulikua unacheki mipaka ya jimbo lako nini, usije kosea kama Mahanga kwenda kuhutubia temeke akifikiri yuko segerea
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom