Mbunge Wa Rorya: Okambo Lameck Airo CV

Mbunge Wa Rorya: Okambo Lameck Airo CV

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
Katika kampeni za 2010, huyu mh. alijinadi kwa kugawa rushwa balaa
akisema " Lasaba hoyee" " Lasaba Hoyeee"...........

Member of Parliament CV

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation
[/TD]
[TD]Honourable
[/TD]
[TD="width: 42%"]Member picture
1666.jpg

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:
[/TD]
[TD]Lameck
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:
[/TD]
[TD]Airo
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:
[/TD]
[TD]Okambo
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:
[/TD]
[TD]Rorya
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:
[/TD]
[TD]Box 594, Mwanza
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:
[/TD]
[TD]+255 784 444305/+255 684 005000/+255 777 444305
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:
[/TD]
[TD]lokambo@parliament.go.tz
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:
[/TD]
[TD]Current Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth
[/TD]
[TD]28 October 1966
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location
[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 15%"]Start Date
[/TH]
[TH="width: 13%"]End Date
[/TH]
[TH="width: 10%"]Level
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyanduga Primary School
[/TD]
[TD]Primary Education
[/TD]
[TD]1975
[/TD]
[TD]1981
[/TD]
[TD]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name
[/TH]
[TH]Position
[/TH]
[TH]From Date
[/TH]
[TH]To Date
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania
[/TD]
[TD]Member - Rorya Constituency
[/TD]
[TD]2010
[/TD]
[TD]2015
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%"]Position
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%"]From
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD]UVCCM - Commander (Councillor)
[/TD]
[TD]1994
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Wale wale Form 7, kwa cv kama hizi ccm ikae stand by 2015
 
Hakika naanza kuelewa kwa nini nchi hii ni maskini.
 
Cha ajabu ni tajiri wa kutupa pale Rock city,wassomi hawana hela(acheni mungu aitwe mungu)yeye la saba kamuangusha Proffesor Sarungi,ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa
 
Hivi huyu jamaa huwa anazielewa kweli randama za bungeni?!
 
Afadhali ya huyu au ambao hawakutumia misuli kuonyesha elimu yao ni ya uzamili na uzamivu wakati hakuna ukweli.I do respect them for being Honest on this!
 
Biashara=elimu=siasa

Jinga kichwani, badala ya kuendeleZa biashara kaingia mAmbo ya siasa
 
Cha ajabu ni tajiri wa kutupa pale Rock city,wassomi hawana hela(acheni mungu aitwe mungu)yeye la saba kamuangusha Proffesor Sarungi,ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa

Ni mtu wa Sarungi, Utajiri alionao umetokana na Sarungi alipokuwa waziri wa ulinzi ndie aliempa tenda kibao jeshini. Inawezekana katika izo biashara Sarungi nae yumo, Inawezekana Airo ni msimamizi. Ndio mikakati ikafanyika ili Airo ndio agombee ubunge kutoka chama cha ccMafisi. Kulinda mbunge wa Rorya atoke Utegi, mrithi wa Sarungi sio vijiji vingine. Kama utakumbuka kulitokea mgongano mkubwa wa kutaka wilaya iwe Utegi badala ya Shirati, wakati Utegi na Tarime ni kama km 20 tu. Matokeo yake wakapanga na liwalo na liwe bora wakose wote yani Utegi na Shirati ili wilaya iwe Ingri Juu, ambapo hakuna jengo hata moja. Ndio inatakiwa serikali ijenge ofisi, hospitali nk. Hakuna chochote katika katika wilaya mpya iliyoanzishwa na ccMafisi hapo Ingri
 
Huyu naye ni mtunga sheria ama mgonga meza bungeni na kuongeza kelele za ndiyoooooooooo
 
hee!hakyamungu tumekwisha,hivi jamani tunapopiga kura kuna haja ya kuhoji uwezo na elimu ya mtu???
 
Afadhali ya huyu au ambao hawakutumia misuli kuonyesha elimu yao ni ya uzamili na uzamivu wakati hakuna ukweli.I do respect them for being Honest on this!

Nakubaliana na wewe kabisa, he's has been honest,
lakini kazi ya kutunga sheria na kuisimamia serikali
inahitaji elimu zaidi kuliko uzoefu wa kibiashara...
 
Hii Cv atapata kazi popote

LAMECK AIRO, anajulikana kwa jina la LA KAIRO huku kanda ya ziwa. ni mjaluo mwenye noti za kutosha, ambaye ili kulinda kazi zake aliamua kuingia kwenye siasa.

Hapa mwanza vitegauchumi vyake vikubwa viko ILEMELA maeneo ya mwaloni na KIRUMBA.

Anamiliki boti nyingi za uvuvi, ana magodown mengi ya kutosha na hivi karibuni ameamua kwajengea POLICE MWANZA nyumba za kuishi, hijajulikana atajenga ngapi lakini si chini ya nyumba 20

kabla na wakati wa kampeni, yeye alikuwa haongei maneno, alikuwa anasema, waliosoma wamewasaidia nini? nichagueni mimi niwafanyie mambo. kila kinacchohitaji wananchi kuchanga pesa, yeye anachangia. miradi ya shule, zahanati, amejenga kwa kutumia fedha zake, ndio sababu walimkubali kwa mambo anayowafanyia wakampa ubunge, lakini bungeni hana msaada.

KIFUPI, NI MIONGONI MWA MABILIONEA WA KITANZANIA. AMEAJIRI WATU SI CHINI YA 2,000
 
Back
Top Bottom