Wanaogopa kuwekwa uchi wachawi haoNyerere Tazama Katiba Uliyotuachia.
Uliowapa Madaraka Hawataki Kuibadili Kamwe
Taasis imara inategemea makapi ya ccm! Taasis imara gani haina uwezo wa kuandaa makada wake badala yake inaamini mpinzani wa kweli ni yule anayetoka ccm na siyo ndani ya taasis yenyewe!Endelea kuota, Chadema ni taasisi imara na inazidi kua imara sasaivi ili uwamini jaribuni friend match tu bila police na tume ilio huru japo ya muda tu, You will thank me later
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni haki iliyotumika vibaya.kushindwa uchaguzi Wa sio tiketi ya kuhama chama, chama Ni kikubwa kuliko maslahi yako binafsi kama kweli umeiva kiitikadi.
Endelea kuota, Chadema ni taasisi imara na inazidi kua imara sasaivi ili uwamini jaribuni friend match tu bila police na tume ilio huru japo ya muda tu, You will thank me later
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapaCECIL MWAMBE ATANGAZA KUACHANA NA CHADEMA NA KUOMBA KUJIUNGA NA CCM
View attachment 1358493
'Kuanzia leo Februari 15, 2020 ninajivua Ubunge wangu na nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA, na nimeamua kujiunga na CCM' - Cecil Mwambe aliyekuwa Mbunge wa Ndanda
Hivi ni CHADEMA ndo ilimsaidia Mwambe au Mwambe aliisaidia CHADEMA? Kabla ya Mwabe CHADEMA iliwahi kuwa na Mbunge Lindi au Mtwara?Hata wanao mpokea nao, hamnazo. Mtu katoka Mwanza kwenda Dar na CHADEMA BUS, kafika Chalinze eti analemka na kutafuta usafiri mwingine na kutoa kashfa kwa hilo gari lililomfikisha hapo! Angetelemkia Misungwi au Shinyanga. Sidhani kama CCM watampa nafasi ya kugombea Ubunge. Angepoteza kitu kwanza kwa hatua hiyo, ndipo angeonekana ni kweli ana mapenzi na CCM. Kwa sasa anataka kuifanya CCM kuwa daraja kwake!
Na chadema wakayapokea "majizi" hayo kwa gharama ya kubadili gia angani na kumpoteza katibu mkuu wao Slaa na matusi na kejeli kwa mwenyekiti mwenza wa ukawa, Lipumba.