Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
nyalotsi,kwa jinsi ulivyojamba na kuharisha mbele za watu inabidi mi nikae kimya kujiepusha na ban.
Bwana tenda muujiza.
simuombei huyu mbunge ila ukisoma vizuri post yangu utagundua namzungumzia kiranja wa hii jumuiya ya watz.
aah,wewe ni choo tu,huna kitu apo kichwani endelea kuropoka ujitie aibu hapa jukwaani
kweli. ni roho ya kichawi kuombea binadamu mwenzio afe.
Mtu mwenye akili fupi, mdomo na moyo mchafu, kumtamka Mungu bila kutubu dhambi zake ni ubatili na unajisi.Mungu ni mwaminifu, atamtendea anayopaswa kutendewa. Kwa mnaotegemea malaika ashuke kutoka mbinguni kuja kujenga barabara mmeumia. Kama tatizo ni ubovu wa barabara mbona mnaendelea kuichagua ccm ambayo imeshindwa kutatua kero ya usafiri Iringa kwa miaka zaidi ya 50? Kwa aliyetoa R.I.P. Naona bado kamtakia mema tu.