koo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 258
- 67
Msanii wa mziki wakizazi kipya kutoka kund la wagosi wa kaya MKOLONI kapata ajira ya mkataba wa miaka mitano kama katibu wa msanii mwenzake na mbunge wa mbeya mjini mheshmiwa Mbilinyi ( Mr 2)Maoni yangu huyu katbu namashaka na uwezo wake kiutendaji na elim yake anaweza akawa chachu ya utendaji mbovu wa mheshmiwa mbunge