Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,568
- 1,600
Nchi hii watu wanaokula kupitia siasa wametugeuza kuwa wajinga na inawezekana wakatuchukulia hivo kutokana na kuwapigia kura wakati sifa za kuwa viongozi Hawana.Huyu si ndiye aliyechopoa samaki kwenye masufuria ya mgahawa wa bunge na kuwapima urefu.
Tena mikono yake ikiwa naked, hajui hata kuvaa gloves mjinga huyu.