Uchaguzi 2020 Mbunge wa Kigoma Mjini 2020

Mbunge ni Prof. Joyce Ndalichako ambaye anaweza kuwa PM wa Kwanza mwanamke Tanzania
Ni kweli JPM hupenda wasaidizi wajingawajinga. Hapendi watu werevu kama akina Samia Suluhu au Majaliwa karibu yake. Ona mijitu kama akina Bashite au Musiba jinsi walivyo na favour ya moja kwa moja machoni pake. Kwa hiyo Ndalichako ana nafasi kubwa kama ulivyosema hapo.
 
Mtu uitwe makambako alafu unazungumzia mambo ya Kigoma huu ndo ulimbukeni
Huyu atakuwa mtoto Wa binamu yake Humphrey Polepole au ni Mtoto wake Wa nje wa Polepole maana Polepole ni mbena Wa huko njombe na makambako ni junction iliyochangamka kama kule kimanzichana
 
Tumeingia Ule mwaka wa kuamua hatma ya Kata, jimbo na nchi yetu. Sisi Wana Kigoma mjini tumeamua kuachana na mazoea na siasa zetu za kuoneana huruma.

Kwakuzingatia matakwa ya kikatiba na kanuni zake...

Hivyo basi huyu ni aina ya mbunge tunaemtaka;

1. Asiwe muongeaji sana bali mtendaji. Ajitahidi kuahidi Yale anayoweza, ajiepushe na kudandia dandia tu trendings za kimbeambea huko mitandaoni, asiwe na ahadi 15 tu zitakazomshinda.

2. Afahamu changamoto zilizopo jimboni, hatutaki mbunge anayetegemea kupata changamoto za jimboni kupitia facebook na Instagram. Hatutegemei kuwa na mbunge anaezifahamu changamoto za mbaazi na korosho zaidi ya kufahamu changamoto za Migebuka, dagaaa na mawase. Hatutarajii kuwa na mbunge anaefahamu changamoto za barabara za jangwani na kimara kuliko kuzijua changamoto za barabara za burega na katonga. Mtu anaejua changamoto ya ndoa za viongozi wengine wa upinzani lakini hafahamu changamoto ndani ya ndoa zake.

3. Awe mbunge wa Wana Kigoma, sisi tutamtuma Bungeni na sio Twitter. Watu wa kigoma sasa wataka kuona mbunge anaesimama nao katika jua na mvua, usiku na mchana.

4. Aishi jimboni, tumeona mfano wa wabunge wengi tu wanaoishi jimboni kwao na kutatua changamoto kwa hali na Mali mfano mdogo tu, Mh Sugu pamoja na mavurugu yake huwezi sikia anaishi masaki na kuwazungumzia watu wa newala huko.

5. Awe bunifu na chapakazi. Tumekataa ulaghai, tumekataa misifi ya kijinga. Mbunge Awe ni jicho katika jamii yake, asaidie katika kuziendea na kuzifanyia kazi fursa kwa vitendo. Sidhani kama kuna mtu anaefikiria kuwa na mbunge ambae anachokisema ni tofauti na anachokifanya.

6. Itaendelea...

#CreatAwareness
#KataaPropaganda
#ChangeKigoma
#TimeIsNow
#Cwu2020
WATATUKANA SANA,LAKINI UKWELI UMEUTEMA VIZURI SANA....zitto hatoboi 2020 akiwa mbunge.

Yeye ajiandae kuwa msemaji wa maalim!

Kwishney............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
P. kwa nini siku zote umekuwa mtetezi sana wa Zitto? sijawahi kuona ukipingana na hoja ya Zitto hata za kizushi kama zile za watu mia kuuawa, hata zile za kusena serikali haina chakula na watu wataanza kufa kwa njas, tulishasubiri hadi leo hatujaona hayo aliyo yasema, lkn nikuulize swali, Zitto mkoje naye mkuu na huwa anakupa nini hadi usimuone kuwa anachotaka muda wote ni political attention, leo unamtaja mbunge makini? jana kasema wanataka kumweka ndani kabla ya uchaguzi, ana nguvu gani hadi magu amuogope, wakati uchaguzi uliopita chama chake kilipata asilimia ambazo hazitajiki, je, Lissu atasemaje kama hata Zitto ni threat kwa uchaguzi ujao? hebu leo tuweke wazi!
Duh!, this time CCM imepata watu makini wanaojua kupanga hoja kuyakomboa majimbo yenye wabunge makini kama ZZK.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wapo wanaoamini katika mfumo wa chama kimoja hapo ndio kuna shida,wanahangaika kuharibu mfumo wa vyama vingi hawajuhi kuwa wananchi wameisha onja asali ya demokrasia hawataki kikundi cha watu wachache ndio waendelee kuwaamulia kwa kila kitu namna ya kuendesha maisha yao.Wananchi wanataka uhuru namna ya kuendesha uchumi wao,siasa zao,maendeleo yao .Uongozi uwe ni mratibu wa shughuri hizo na usiwe muamuzi wa kila kitu wananchi wanataka.
 
Tumeingia Ule mwaka wa kuamua hatma ya Kata, jimbo na nchi yetu. Sisi Wana Kigoma mjini tumeamua kuachana na mazoea na siasa zetu za kuoneana huruma.

Kwakuzingatia matakwa ya kikatiba na kanuni zake...

Hivyo basi huyu ni aina ya mbunge tunaemtaka;

1. Asiwe muongeaji sana bali mtendaji. Ajitahidi kuahidi Yale anayoweza, ajiepushe na kudandia dandia tu trendings za kimbeambea huko mitandaoni, asiwe na ahadi 15 tu zitakazomshinda.

2. Afahamu changamoto zilizopo jimboni, hatutaki mbunge anayetegemea kupata changamoto za jimboni kupitia facebook na Instagram. Hatutegemei kuwa na mbunge anaezifahamu changamoto za mbaazi na korosho zaidi ya kufahamu changamoto za Migebuka, dagaaa na mawase. Hatutarajii kuwa na mbunge anaefahamu changamoto za barabara za jangwani na kimara kuliko kuzijua changamoto za barabara za burega na katonga. Mtu anaejua changamoto ya ndoa za viongozi wengine wa upinzani lakini hafahamu changamoto ndani ya ndoa zake.

3. Awe mbunge wa Wana Kigoma, sisi tutamtuma Bungeni na sio Twitter. Watu wa kigoma sasa wataka kuona mbunge anaesimama nao katika jua na mvua, usiku na mchana.

4. Aishi jimboni, tumeona mfano wa wabunge wengi tu wanaoishi jimboni kwao na kutatua changamoto kwa hali na Mali mfano mdogo tu, Mh Sugu pamoja na mavurugu yake huwezi sikia anaishi masaki na kuwazungumzia watu wa newala huko.

5. Awe bunifu na chapakazi. Tumekataa ulaghai, tumekataa misifi ya kijinga. Mbunge Awe ni jicho katika jamii yake, asaidie katika kuziendea na kuzifanyia kazi fursa kwa vitendo. Sidhani kama kuna mtu anaefikiria kuwa na mbunge ambae anachokisema ni tofauti na anachokifanya.

6. Itaendelea...

#CreatAwareness
#KataaPropaganda
#ChangeKigoma
#TimeIsNow
#Cwu2020

Mbunge haleti maendeleo fullstop.
 
Tumeingia Ule mwaka wa kuamua hatma ya Kata, jimbo na nchi yetu. Sisi Wana Kigoma mjini tumeamua kuachana na mazoea na siasa zetu za kuoneana huruma.

Kwakuzingatia matakwa ya kikatiba na kanuni zake...

Hivyo basi huyu ni aina ya mbunge tunaemtaka;

1. Asiwe muongeaji sana bali mtendaji. Ajitahidi kuahidi Yale anayoweza, ajiepushe na kudandia dandia tu trendings za kimbeambea huko mitandaoni, asiwe na ahadi 15 tu zitakazomshinda.

2. Afahamu changamoto zilizopo jimboni, hatutaki mbunge anayetegemea kupata changamoto za jimboni kupitia facebook na Instagram. Hatutegemei kuwa na mbunge anaezifahamu changamoto za mbaazi na korosho zaidi ya kufahamu changamoto za Migebuka, dagaaa na mawase. Hatutarajii kuwa na mbunge anaefahamu changamoto za barabara za jangwani na kimara kuliko kuzijua changamoto za barabara za burega na katonga. Mtu anaejua changamoto ya ndoa za viongozi wengine wa upinzani lakini hafahamu changamoto ndani ya ndoa zake.

3. Awe mbunge wa Wana Kigoma, sisi tutamtuma Bungeni na sio Twitter. Watu wa kigoma sasa wataka kuona mbunge anaesimama nao katika jua na mvua, usiku na mchana.

4. Aishi jimboni, tumeona mfano wa wabunge wengi tu wanaoishi jimboni kwao na kutatua changamoto kwa hali na Mali mfano mdogo tu, Mh Sugu pamoja na mavurugu yake huwezi sikia anaishi masaki na kuwazungumzia watu wa newala huko.

5. Awe bunifu na chapakazi. Tumekataa ulaghai, tumekataa misifi ya kijinga. Mbunge Awe ni jicho katika jamii yake, asaidie katika kuziendea na kuzifanyia kazi fursa kwa vitendo. Sidhani kama kuna mtu anaefikiria kuwa na mbunge ambae anachokisema ni tofauti na anachokifanya.

6. Itaendelea...

#CreatAwareness
#KataaPropaganda
#ChangeKigoma
#TimeIsNow
#Cwu2020
DIAMOND PLATINUM kapita bila kupigiwa kura.
 
Tumeingia Ule mwaka wa kuamua hatma ya Kata, jimbo na nchi yetu. Sisi Wana Kigoma mjini tumeamua kuachana na mazoea na siasa zetu za kuoneana huruma.

Kwakuzingatia matakwa ya kikatiba na kanuni zake...

Hivyo basi huyu ni aina ya mbunge tunaemtaka;

1. Asiwe muongeaji sana bali mtendaji. Ajitahidi kuahidi Yale anayoweza, ajiepushe na kudandia dandia tu trendings za kimbeambea huko mitandaoni, asiwe na ahadi 15 tu zitakazomshinda.

2. Afahamu changamoto zilizopo jimboni, hatutaki mbunge anayetegemea kupata changamoto za jimboni kupitia facebook na Instagram. Hatutegemei kuwa na mbunge anaezifahamu changamoto za mbaazi na korosho zaidi ya kufahamu changamoto za Migebuka, dagaaa na mawase. Hatutarajii kuwa na mbunge anaefahamu changamoto za barabara za jangwani na kimara kuliko kuzijua changamoto za barabara za burega na katonga. Mtu anaejua changamoto ya ndoa za viongozi wengine wa upinzani lakini hafahamu changamoto ndani ya ndoa zake.

3. Awe mbunge wa Wana Kigoma, sisi tutamtuma Bungeni na sio Twitter. Watu wa kigoma sasa wataka kuona mbunge anaesimama nao katika jua na mvua, usiku na mchana.

4. Aishi jimboni, tumeona mfano wa wabunge wengi tu wanaoishi jimboni kwao na kutatua changamoto kwa hali na Mali mfano mdogo tu, Mh Sugu pamoja na mavurugu yake huwezi sikia anaishi masaki na kuwazungumzia watu wa newala huko.

5. Awe bunifu na chapakazi. Tumekataa ulaghai, tumekataa misifi ya kijinga. Mbunge Awe ni jicho katika jamii yake, asaidie katika kuziendea na kuzifanyia kazi fursa kwa vitendo. Sidhani kama kuna mtu anaefikiria kuwa na mbunge ambae anachokisema ni tofauti na anachokifanya.

6. Itaendelea...

#CreatAwareness
#KataaPropaganda
#ChangeKigoma
#TimeIsNow
#Cwu2020
KWANI NYIE HAPO KIGOMA HAMJAWAHI KUWA NA MBUNGE WA CCM HUKO NYUMA? ALIWAFIKISHA WAPI? MBONA BADO MNALALAMIKA WAKATI TANGU MWAKA 1961 HADI SASA CCM IMEKUWA NI CHAMA TAWALA. MBONA HAMKIHOJI HUWA KINA FANYA NINI MIAKA YOTE YA KUWA CHAMA TAWALA? MIMI SIWEZI KUULAUMU UPINZANI HATA SIKU MOJA, MAANA HATUJAWAHI KUWAPA NAFASI YA KUUNDA SERIKALI TANGU TUPATE UHURU. KAMA UNA AKILI UTAELEWA NIKISEMACHO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom