Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
mbunge wa Jimbo la Mbozi, Pasco Haonga, ameibuka na kuzungumza Miongoni mwa aliyozungumza ni pamoja na madai kwamba Chama cha Mapinduzi kimetenge shilingi bilioni 5 kwa ajili ya kile alichodai kuwa ni mpango wa kununua viongozi wa Chadema na Upinzani.
“Mimi Pascal Haonga bila kumumunya maneno, wananchi wangu wakiona siku nimehama CHADEMA na kwenda CCM nawaruhusu wakachome nyumba yangu. Sipo tayari kuwasaliti wananchi wangu ” Pascal Haonga