Kwani wote wanakamatwa kwa siku moja?
Mkuu kama katiba ndio tatizo mbona aliyeipinga katiba mpya alipokuja kwetu tukampa nafasi agombee URAIS kupitia UKAWA?Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana.
Taifa limegawanyika kabisa
Tunapunguza nguvu za vuruguYote yana mwisho,au wanataka kupunguza nguvu kwenye timu ya kampeni za ubunge?
Sijui umeuelewaje ujumbe huo!
Sawa si wapelekwe mahakamani ? Hao ni watuhumiwa tu bado wana haki zaoWewe sema ametenda kosa gani...polisi hawakamati bila kosa...mbona Mbowe huwa halazwi mahabusu?
Hahahahaa, Daah watu wanaoishi kwa shemeji wanapata shida saanaNakuona umejitanua kwenye Kochi la Shemeji unaangalia movie wakati huu dada yako yupo hoi chumbani analipia gharama ya Wewe kujiachia