Lifa chipaka alihukumiwa kwa uhaini na kambona naye alituhumiwa kwa jambo kama hilo kwa kuchochea uasi wa Jeshi mwaka 1964.
Hawa kina Msigwa wamefanya nini?
Lifa alianza kukamatwa akawekwa Mahabusu then ndio akaja kuhukumiwa baadae ndivyo kinachofanyika kwa Msigwa wanakamatwa wanashtakiwa wakipatikana na hatia wanafungwa kama walivyofungwa kina Lifa chipaka